Lowassa akomalia kuunda Tume
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na vyama vinavyounda Ukawa, Edward Lowassa amesisitiza ahadi yake ya kuunda tume ya kuchunguza migogoro ya wakulima na wafugaji wakati akihutubia wananchi wa Matui wilayani hapa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV02 Oct
Waislamu waiomba Serikali kuunda tume ya uchunguzi
Waislamu nchini wametaka kuundwa Tume ya Uchunguzi ya Hijja kutokana na vifo vya mahujaji vilivyotokea mwaka huu wakati wa Ibada ya Hijja nchini Saudi Arabia.
Waislamu hao wametaka tume hiyo ishirikishe nchi zote ambazo mahujaji wake wamefariki katika hijja ya mwaka huu walipokuwa wakimtupia jiwe shetani eneo la Minna Saudi Arabia.
Wakizungumza kwa mwavuli wa Muungano wa Waislamu wa madhehebu mbalimbali nchini, Masheikh hao wa taasisi tofauti wametoa tamko ambalo pia linapendekeza Serikali...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Mke-wa-marehemu-Mch.Mtikila-katikati-GEOGEA-MTIKILA-akizungumza-na-wanahabri-pichani-hawapo..jpg)
MKE WA MTIKILA AMUOMBA KIKWETE KUUNDA TUME YA KUCHUNGUZA KIFO CHA MUMEWE
9 years ago
Habarileo04 Oct
Lowassa kuunda serikali rafiki kwa waendesha bodaboda
MGOMBEA wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Edward Lowassa amesema kwamba iwapo atapata ridhaa ya wananchi ya kuchaguliwa kuiongoza nchi ataunda serikali rafiki kwa waendesha bodaboda nchini ili kutetea na kuboresha maslahi yao.
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-32eDfJ9r9Sw/Vfbre1oClGI/AAAAAAAACA8/DLgNMd5bqWM/s72-c/OTH_4071.jpg)
LOWASSA AENDEKEA NA ZIARA YA KAMPENI MKOANI SHINYANGA LEO, AAHIDI KUUNDA SERIKALI ITAKAYOCHANGAMKIA MAENDELEO YA KUWANUFAISHA WATANZANIA WOTE
![](http://3.bp.blogspot.com/-32eDfJ9r9Sw/Vfbre1oClGI/AAAAAAAACA8/DLgNMd5bqWM/s640/OTH_4071.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-47ouN1OIytU/VfbrgfRz0hI/AAAAAAAACBE/aXW5MV3hRe4/s640/OTH_4076.jpg)
10 years ago
Mwananchi09 Aug
Mjumbe Tume ya Warioba amvalia njuga Lowassa
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WLDrVkQ1qFV3Iigl6w0uenngAN6Cxj7zNAA*IxyWTSHzfffyU5PuLba8UjAVfEX48QZ-wFjoj0-qzdRyxvjtI5D2fk*sH3Yr/Lowassaz.jpg?width=650)
LOWASSA: TUME YA UCHAGUZI INAMPE-NDELEA DK. MAGUFULI
9 years ago
Habarileo22 Sep
Lowassa: Nitaunda tume ya mikataba ya gesi asilia
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na vyama vya upinzani vinavyounda Ukawa, Edward Lowassa amewaahidi wakazi wa Mtwara kuwa endapo atachaguliwa kuwa rais, ataunda tume maalumu kuchunguza mikataba ya gesi asilia.
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Lowassa: Nitaunda tume kutatua migogoro ya wakulima na wafugaji
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Lowassa aitaka tume imtangaze kuwa mshindi Tanzania