Lowassa: Nitaunda tume kutatua migogoro ya wakulima na wafugaji
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema kupitia mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa amesema kuwa ataunda tume ya maridhiano itakayoshughulika migogoro ya wakulima na wafugaji ili kuondokana na matatizo ambayo yamekuwa yakiwasumbua.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji
![IMG_0113](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0113.jpg)
9 years ago
Habarileo22 Sep
Lowassa: Nitaunda tume ya mikataba ya gesi asilia
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na vyama vya upinzani vinavyounda Ukawa, Edward Lowassa amewaahidi wakazi wa Mtwara kuwa endapo atachaguliwa kuwa rais, ataunda tume maalumu kuchunguza mikataba ya gesi asilia.
9 years ago
Raia Mwema06 Jan
Kizungumkuti migogoro ya wakulima na wafugaji
KUTOKUBALIANA kuhusu chanzo cha migogoro ya wakulima na wafugaji miongoni mwa wadau kumeelezwa ku
Mwandishi Wetu
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Dawa migogoro ya wakulima, wafugaji yaja
SERIKALI inatarajia kufanya kampeni maalumu ya kitaifa itakayoshirikisha taasisi za kiserikali kuanzia ngazi ya kijiji hadi taifa, ili kupata suluhu ya migogoro ya wakulima na wafugaji inayozidi kushika kasi nchini....
10 years ago
Habarileo22 May
Migogoro ya wakulima, wafugaji yatawala Bunge
SAKATA la migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji nchini, limetawala mjadala wa hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2015/16 ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, iliyowasilishwa bungeni juzi.
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Serikali imelala migogoro ya wakulima na wafugaji?
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
‘Mabadiliko tabianchi chanzo migogoro wafugaji, wakulima’
MIGOGORO mingi ya wakulima na wafugaji hapa nchini imeelezwa kuchangiwa na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi. Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam hivi karibuni na Jaji wa Mahakama Kuu...
10 years ago
Habarileo08 Sep
Tibaijuka ataja sababu migogoro wafugaji, wakulima
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amesema migogoro ya ardhi iliyopo nchini baina ya wakulima na wafugaji, inasababishwa na ufinyu wa mitaji na teknolojia katika kuendeleza ardhi hiyo.
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Tanzania yajitosa kutatua migogoro