LOWASSA: TUME YA UCHAGUZI INAMPE-NDELEA DK. MAGUFULI
![](http://api.ning.com:80/files/WLDrVkQ1qFV3Iigl6w0uenngAN6Cxj7zNAA*IxyWTSHzfffyU5PuLba8UjAVfEX48QZ-wFjoj0-qzdRyxvjtI5D2fk*sH3Yr/Lowassaz.jpg?width=650)
Brighton Masallu MGOMBEA wa nafasi ya urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Ngoyai Lowassa, amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imeonesha dalili za kumpendelea mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli katika matokeo ya nafasi ya urais. Mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya Chama cha...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-o64ufUSnPKo/Vdbs7gfBy5I/AAAAAAAAtzk/gQUCzWnWS7M/s72-c/MMGL0274.jpg)
MH. LOWASSA NA MGOMBEA MWENZA WARUDISHA FOMU TUME YA UCHAGUZI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-o64ufUSnPKo/Vdbs7gfBy5I/AAAAAAAAtzk/gQUCzWnWS7M/s640/MMGL0274.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_NHk13MbBfA/Vdbs6Ybc2-I/AAAAAAAAtzc/LMW213mY3uw/s640/MMGL0316.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jn2FqhWtTaQ/Vcj4oQx1xTI/AAAAAAAHv4s/7zX2K1lYxWY/s72-c/MMGL1282.jpg)
LOWASSA ACHUKUA FOMU YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUWANIA URAIS WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jn2FqhWtTaQ/Vcj4oQx1xTI/AAAAAAAHv4s/7zX2K1lYxWY/s640/MMGL1282.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni wakiwapingua maelfu ya wafuasi wa vyama vya Siasa vinavyounda UKAWA, jijini Dar es salaam, Augusti 10, 2015, walipokuwa wakielekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba 25, mwaka huu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-059c9__0dIg/VckRaTDYUUI/AAAAAAAAtts/ISPFUZQyb-k/s640/edo4.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar10 Sep
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Nao Wamuonya Lowassa Kwa Kauli ya Kibaguzi Kanisani
Mwenyekiti wa NEC Damian Lubuva Wednesday, September 9, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kitendo kilichofanywa na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa cha kuomba kura kwa kuwataka waumini wa madhehebu ya Kilutheri kumchagua […]
The post Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Nao Wamuonya Lowassa Kwa Kauli ya Kibaguzi Kanisani appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Cp8gHbcw1Bk/VcC1bVF77II/AAAAAAAAjLA/IUYdhXoncTk/s72-c/5.jpg)
MAGUFULI ACHUKUA FOMU TUME YA UCHAGUZI YA TAIFA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cp8gHbcw1Bk/VcC1bVF77II/AAAAAAAAjLA/IUYdhXoncTk/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a1oLkYH1Uds/VcC1cYJXl_I/AAAAAAAAjLU/b5LGxHXFbpE/s640/7.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-04mPG3Bc7y8/Vb-Kg4aoPnI/AAAAAAAC9O8/4OlHgnSz_4A/s72-c/_MG_1875.jpg)
MGOMBEA MTEULE WA URAIS CCM,DKT MAGUFULI KUCHUKUA FOMU TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-04mPG3Bc7y8/Vb-Kg4aoPnI/AAAAAAAC9O8/4OlHgnSz_4A/s640/_MG_1875.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VXZ9NythroE/Vb-Kppd0qAI/AAAAAAAC9PE/DwS9_JkTSg4/s640/_MG_1834.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oMpKyx5W694/Vb-Kp11op6I/AAAAAAAC9PI/rPF0Jn0n5cE/s640/_MG_1854.jpg)
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
MGOMBEA...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/roXUastOvhTPSnWyE7-f2J-OSsprF-oLxud2K7z3cyerOjyhgHqU6KoUuLKwFvygqO5VQ6MQjocNKo1grAMC-okTXmHZZ9Pp/Mangufuliz.jpg)
UCHAGUZI 2015: MAGUFULI, LOWASSA MWISHO WA UBISHI!
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MYpFpAbrK-U/VcC_9uDs29I/AAAAAAAC9TE/8ud3J2l-TxY/s72-c/124.jpg)
MAGUFULI ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI JIJINI DAR LEO,VIFIJO NA NDEREMO VYATAWALA
![](http://2.bp.blogspot.com/-MYpFpAbrK-U/VcC_9uDs29I/AAAAAAAC9TE/8ud3J2l-TxY/s640/124.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Ndugu Samia Suluhu Hassan wakionesha fomu zao za kuomba kugombea urais mara baada ya kuchukua kwenye ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dar es salaam leo, ambapo walisindikizwa na viongozi mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM na wananchi kwa ujumla wakiwa wamepanda kwenye gari maalum.
![](http://4.bp.blogspot.com/-SzMabWcsAjE/VcCx_glCXcI/AAAAAAAC9Sc/xRhZj5YQC0Y/s640/6.jpg)
9 years ago
Vijimambo25 Aug
Sasha anena ya moyoni: Uchaguzi Mkuu 2015 Lowassa Vs Dr. Magufuli
Mara ooh Lowassa atadhibitiwa na viongozi mahiri wa Chadema/UKAWA!!! — nani pale unamuona anaweza kumwambia kitu Lowassa??? Mbowe? Mbatia? Lissu? Mnyika?? HAKUNA ATAEWEZA/ANAEWEZA KUMWAMBIA LOWASSA CHOCHOTE NDANI YA UKAWA. ATAFANYA ATACHOJISKIA, MSIDANGANYIKE....
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akiongea na waandishi wa habari (hawako pichani) leo mchana makao makuu ya ofisi za Tume, mtaa wa Barack Obama jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mhe. Nyanduga akitoa tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
Ushauri wa THBUB kwa Tume ya Uchaguzi Zbar.doc