Sasha anena ya moyoni: Uchaguzi Mkuu 2015 Lowassa Vs Dr. Magufuli
Nyie watu achene kufata mkumbo. Urais haujaribiwi. Eti tuwape miaka 5 Ukawa wakichemsha hatuwachagui tena!!! Ujinga gani huu Watanzania wenzangu? Tunajaribu kiti cha Urais. Hatuna uhakika na uchaguzi wetu tunatest zali!!! ONLY IN TZ.
Mara ooh Lowassa atadhibitiwa na viongozi mahiri wa Chadema/UKAWA!!! — nani pale unamuona anaweza kumwambia kitu Lowassa??? Mbowe? Mbatia? Lissu? Mnyika?? HAKUNA ATAEWEZA/ANAEWEZA KUMWAMBIA LOWASSA CHOCHOTE NDANI YA UKAWA. ATAFANYA ATACHOJISKIA, MSIDANGANYIKE....
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/roXUastOvhTPSnWyE7-f2J-OSsprF-oLxud2K7z3cyerOjyhgHqU6KoUuLKwFvygqO5VQ6MQjocNKo1grAMC-okTXmHZZ9Pp/Mangufuliz.jpg)
UCHAGUZI 2015: MAGUFULI, LOWASSA MWISHO WA UBISHI!
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-LfwYYKo-5tM/VbpKjD7OiAI/AAAAAAABS8E/k1Ps_CRB4JM/s72-c/mwandosya.jpg)
PROFESA MWANDOSYA ANENA YA MOYONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-LfwYYKo-5tM/VbpKjD7OiAI/AAAAAAABS8E/k1Ps_CRB4JM/s640/mwandosya.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Kumekucha Uchaguzi Mkuu 2015, Lowassa atikisa CCM, upinzani
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/oJmyHWQMGPc/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Mama yake IGP Mangu anena ya moyoni
9 years ago
Vijimambo08 Sep
Sababu 10 kwa nini John Magufuli atashinda uchaguzi Mkuu wa Urais 2015
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/p370x247/11144957_129316837414388_86398213818538964_n.jpg?oh=87738b120642bdb8e22cd3c3766bfbfc&oe=5661D597)
Uchaguzi Mkuu
1. Tanzania bara na visiwani yako majimbo ya uchaguzi 266, CCM imesimamisha wagombea Ubunge katika majimbo yote 266 huku Chadema na washirika wake wa Ukawa wakiwa wamesimamisha wagombea katika majimbo 211 (138 toka Chadema). Kati ya majimbo hayo 266, CCM tayari imepita bila kupingwa majimbo 7. Ukichukua majimbo 259 yaliyobaki na kutoa 211 ambayo Chadema na washirika wake wamesimamisha wagombea unabaki na majimbo 48 ambayo CCM haina upinzani wa Chadema wala washirika wake wa...
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu aitembelea NEC kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015
Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema jana alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.
Vifaa mbalimbali...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s72-c/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU BW. FROLENCE TURUKA AITEMBELEA NEC KUONA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s640/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2wbNUQWxs8w/VfSlycBQWUI/AAAAAAABlxM/kATyAIcFBF8/s640/11930774_1465390323770465_1602462128218917504_o.jpg)
9 years ago
VijimamboLowassa ashangiliwa kama Rais, Mbowe anena mazito.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefichua mazito baada ya kueleza hadharani kuwa kamwe chama chake na washirika wao wanaounda Umoja wa Katiba ya...