Lowassa ashangiliwa kama Rais, Mbowe anena mazito.
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kupitia mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa (wa pili kulia), akiwa na viongozi wa Ukawa. Kulia ni Mgombea Mwenza, Juma Duni Haji, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia. Picha na Dotto Mwaibale
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefichua mazito baada ya kueleza hadharani kuwa kamwe chama chake na washirika wao wanaounda Umoja wa Katiba ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv8irXPhnYBAniE-sIn7Sr576Ho8ZaWDVPzUD37YJDz0T2CMWAkI7RxZFGv7700-mDfYDcCJhbp3if07LGtyv07j/FRONTIJUMAA.jpg)
JACK PATRICK ANENA MAZITO
10 years ago
Dewji Blog05 May
Exclusive siku ya pili mgomo wa Madereva;Mbowe wa Chadema atinga ashangiliwa
Mbunge wa Hai na Mkuu wa Kambi ya upinzani Bungeni, Mh. Freeman Mbowe akiwasili kwenye ofisi za madereva Ubungo muda huu huku akishangiliwa…
Na Andrew Chale, Modewji blog
Mgomo ambao ulianza jana na kuendelea hdi leo Mei 5, umechukua sura mpya baada ya hali tete ya kutoelewana baina ya viongozi wa madereva na baadhi ya viongozi wa Serikali ikiwemo jeshi la Polisi nchini, akiongozwa na Kamanda Mpinga, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ambapo viongozi hao na madereva licha ya kufikia...
10 years ago
GPLAUNT ANENA MAZITO BIFU LA KAJALA, WEMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aX2yEHaS8JlR-oQs*9laPx3PkGQZ-*wW*IKuAo4wjAWmrOMStoPrjZn*2J1Uy0zRdjqlOPl5KrsOr1-jBo4vLNdh4Z6Nxuqw/vlcsnap256469001.jpg?width=600)
SIKU CHACHE BAADA YA KUHOJIWA: MEMBE ANENA MAZITO!
9 years ago
Vijimambo25 Aug
Sasha anena ya moyoni: Uchaguzi Mkuu 2015 Lowassa Vs Dr. Magufuli
Mara ooh Lowassa atadhibitiwa na viongozi mahiri wa Chadema/UKAWA!!! — nani pale unamuona anaweza kumwambia kitu Lowassa??? Mbowe? Mbatia? Lissu? Mnyika?? HAKUNA ATAEWEZA/ANAEWEZA KUMWAMBIA LOWASSA CHOCHOTE NDANI YA UKAWA. ATAFANYA ATACHOJISKIA, MSIDANGANYIKE....
10 years ago
CloudsFM13 Nov
TWAWEZA: KAMA UCHAGUZI UNGEFANYIKA LEO LOWASSA ANGEKUWA RAIS
Matokeo ya utafiti kuhusu kinyang’anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu 2015 ambayo yanaonyesha kuwa iwapo ungefanyika leo, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa angeibuka mshindi.
Wakati Lowassa angeibuka na ushindi kwa asilimia 13 na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda angefuatia kwa karibu akiwa na asilimia 12 huku Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa akiwa wa tatu kwa asilimia kumi na moja.
Hata hivyo, asilimia 33 ya wananchi waliohojiwa walisema bado hawajaamua wampigie kura mgombea gani.
...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPx5jvyg8qp681JRtHgXINf7LbPfS1yUK7UmNNICrpzPBfcLmo*dSSmbSBHZGC9-UgESKkD4fAnyyDAgKeHIQZmW/lulu.jpg?width=650)
LULU: KAMA SI KANUMBA YANGENIKUTA MAZITO
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/_1olCv3efuA/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2a-cRSmOgwA/VfNEqWHNnnI/AAAAAAAAkT0/y35ol-Urfdw/s72-c/1.jpg)
LOWASSA AFUNGUKA MAZITO..ASEMA LIST HII YA VIONGOZI HAWA SITOWAACHA!!
![](http://3.bp.blogspot.com/-2a-cRSmOgwA/VfNEqWHNnnI/AAAAAAAAkT0/y35ol-Urfdw/s640/1.jpg)
KIAMA kwa Viongozi hawa na hakika neema inakuja!Mgombea urais wa UKAWA Mh Edward Lowassa amesema akichaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano ataunda serikali itakayokuwa na viongozi wenye uwezo wa kuchukua hatua na kutatua matatizo ya wananchi na atahakikisha utaratibu wa wananchi kulalamika na viongozi pia kulalamikakama ilivyo sasa unabaki kuwa historia.Mh Lowassa ambaye amefanya mikutano minne katika majimbo ya Mtera, Bahi Chilonwa na Dodoma mjini pia amewaomba watanzania kumpa nafasi ya...