TWAWEZA: KAMA UCHAGUZI UNGEFANYIKA LEO LOWASSA ANGEKUWA RAIS
Matokeo ya utafiti kuhusu kinyang’anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu 2015 ambayo yanaonyesha kuwa iwapo ungefanyika leo, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa angeibuka mshindi.
Wakati Lowassa angeibuka na ushindi kwa asilimia 13 na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda angefuatia kwa karibu akiwa na asilimia 12 huku Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa akiwa wa tatu kwa asilimia kumi na moja.
Hata hivyo, asilimia 33 ya wananchi waliohojiwa walisema bado hawajaamua wampigie kura mgombea gani.
...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Oct
Mpoto adai kama asingekuwa msanii angekuwa mpishi
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
Lowassa ni mzigo, Slaa angekuwa chaguo sahihi!
WAKATI naandika makala hii, habari zilikuwa zimezagaa ya kuwa Umoja wa Vyama vya Upinzani nchini
Johnson Mbwambo
9 years ago
VijimamboLowassa ashangiliwa kama Rais, Mbowe anena mazito.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefichua mazito baada ya kueleza hadharani kuwa kamwe chama chake na washirika wao wanaounda Umoja wa Katiba ya...
9 years ago
TheCitizen23 Sep
Strong reaction as Twaweza poll shows Lowassa trailing
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-o64ufUSnPKo/Vdbs7gfBy5I/AAAAAAAAtzk/gQUCzWnWS7M/s72-c/MMGL0274.jpg)
MH. LOWASSA NA MGOMBEA MWENZA WARUDISHA FOMU TUME YA UCHAGUZI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-o64ufUSnPKo/Vdbs7gfBy5I/AAAAAAAAtzk/gQUCzWnWS7M/s640/MMGL0274.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_NHk13MbBfA/Vdbs6Ybc2-I/AAAAAAAAtzc/LMW213mY3uw/s640/MMGL0316.jpg)
10 years ago
GPLTWAWEZA WAONYA VURUGU UCHAGUZI MKUU!
9 years ago
Dewji Blog23 Sep
Twaweza yatoa matokeo ya utafiti juu ya Uchaguzi nchini 2015
Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza Bw. Aidan Eyakuze.(Picha na Maktaba).
Na Ally Daud-MAELEZO.
Taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza imetoa matokeo ya utafiti uliyofanywa juu ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu ambapo utafiti huo unaonesha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndio kinachopendwa na wananchi kuliko chama kingine cha siasa hapa nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wadau mbalimbali jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza Bw. Aidan Eyakuze alisema katika utafiti...
9 years ago
Michuzi24 Sep
Majibu kwa dukukudu kuhusu kura ya maoni ya Uchaguzi Mkuu ya TWAWEZA
![](https://dl.pushbulletusercontent.com/D45hhPml4fIXmcQacc38zF88DbULnxnH/PhotoGrid_1443120630178.jpg)
Majibu kwa Dukuduku Kuhusu Utafiti Wa Kura Ya Maoni Wa TWAWEZA by Evarist Chahali
9 years ago
Vijimambo07 Sep
LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2860850/highRes/1112336/-/maxw/600/-/r63lu6z/-/lowasa_akilini.jpg)
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...