Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa ni mzigo, Slaa angekuwa chaguo sahihi!

WAKATI naandika makala hii, habari zilikuwa zimezagaa ya kuwa Umoja wa Vyama vya Upinzani nchini

Johnson Mbwambo

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

WANANCHI MLALO: RASHID SHANGAZI NI CHAGUO SAHIHI KWA MAENDELEO YA KWELI

Rashidi Shangazi akinadiwa kwa wananchi na mgombea urais wa CCM, John Magufuli. Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu akiwa na Rashidi Shangazi.…

 

10 years ago

Vijimambo

AFRIKA TRAVEL & LOGISTICS SASA CHAGUO NI LAKO KUFARIRISHA MZIGO KWA NDEGE AU MELI BEI NI POA SANA

 WE PIGA SIMU TU NA MZIGO UTAUKUTA DAR ES SLAAM AU POPOTE PALE DUNIANI UNAPOTAKA KUUPELEKA JARIBU LEO AFRIKA TRAVEL & LOGISTICS KWA AJILI YAKO WAKATI WOWOTE HUDUMA ILIYO BORA KWA HARAKA NA UFANISI KWANI KWETU MTEJA NI MFALME.

 

9 years ago

Vijimambo

TSUNAMI YA CCM LEO MKOANI TANGA,WANANCHI WANAIMANI KUBWA NA CCM NA WANAAMINI MAGUFULI NI CHAGUO SAHIHI

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi katika picha tofauti akizungumza na wananchi wa Tanga Mjini hii leo kwenye Viwanja vya Tangamano wakati wa Mkutano wa kuomba kura za Urais,Ubunge na Udiwani kwaajili ya kuhakikisha CCM inashinda kwa kishindo mapema October 25.2015.Magufuli amewaahidi Wananchi wa Tanga kuwa atarejesha Viwanda na atahakikisha Tanga Unakuwa Mkoa wa Viwanda kama zamani.Mbali zaidi amesema amenuia kuhakikisha Taifa linabadilika kwenye Utendaji wakazi,Utoaji wa...

 

10 years ago

CloudsFM

TWAWEZA: KAMA UCHAGUZI UNGEFANYIKA LEO LOWASSA ANGEKUWA RAIS

Matokeo ya utafiti kuhusu kinyang’anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu 2015 ambayo yanaonyesha kuwa iwapo ungefanyika leo, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa angeibuka mshindi.
Wakati Lowassa angeibuka na ushindi kwa asilimia 13 na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda angefuatia kwa karibu akiwa na asilimia 12 huku Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa akiwa wa tatu kwa asilimia kumi na moja.

Hata hivyo, asilimia 33 ya wananchi waliohojiwa walisema bado hawajaamua wampigie kura mgombea gani.

...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Lowassa Aanza kivingine: Tunataka Kiongozi anaejali Shida za Wananchi: UKAWA Chaguo lako Mtanzania.

NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM WAKATI mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, akizindua kampeni zake juzi jijini Dar es Salaam kwa mkutano wa hadhara, mpinzani wake mkubwa ambaye ni mgombea wa […]

The post Lowassa Aanza kivingine: Tunataka Kiongozi anaejali Shida za Wananchi: UKAWA Chaguo lako Mtanzania. appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mtanzania

Ni Lowassa vs Slaa

Lowassa vs SlaaFredy Azzah na Elias Msuya

RIPOTI ya utafiti ya taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza yenye kichwa cha habari, ‘Tanzania kuelekea 2015’, imeonesha kuwa asilimia 47 ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, hawatarejea bungeni katika uchaguzi mkuu ujao.

Utafiti huo ujulikanao kama sauti za wananchi ulifanywa kwa njia ya simu ambapo mwaka 2012 watu waliohojiwa ni 2,000,  mwaka 2013 1,574 na mwaka 2014 watu waliohojiwa ni 1,445.

Ripoti hiyo inaeleza kuwa, asilimia 47 ya wananachi...

 

10 years ago

GPL

LOWASSA, DK. SLAA WAZUA JAMBO

Mwandishi wetu Mambo ya uchaguzi! Mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibroad Slaa wamezua jambo baada ya kusababisha mpasuko miongoni mwa wanachama wa chama hicho. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1LZYZjU

 

9 years ago

Raia Mwema

Lowassa, Dk. Slaa, tusipotoshe ukweli

MSEMA kweli ni mpenzi wa Mungu.

Privatus Karugendo

 

9 years ago

Daily News

Slaa slams Chadema on Lowassa


IPPmedia
Slaa slams Chadema on Lowassa
Daily News
CHADEMA has lost credibility and public trust for accepting former Prime Minister Edward Lowassa who has incessantly been implicated in various corrupt practices, the opposition party's former Secretary General, Dr Willibrod Slaa, charged in Dar es ...
Lowassa promises to control national debtIPPmedia

all 4

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani