Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Slaa slams Chadema on Lowassa


IPPmedia
Slaa slams Chadema on Lowassa
Daily News
CHADEMA has lost credibility and public trust for accepting former Prime Minister Edward Lowassa who has incessantly been implicated in various corrupt practices, the opposition party's former Secretary General, Dr Willibrod Slaa, charged in Dar es ...
Lowassa promises to control national debtIPPmedia

all 4

Daily News

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Dk. Slaa aichojoa ndoa ya CHADEMA na Lowassa

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbroad Slaa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu azma yake ya kuachana na siasa na kuwa mwananchi wa kawaida katika mkutano uliofanyika Dar es Salaam jana. (Picha na Fadhili Akida).

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbroad Slaa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu azma yake ya kuachana na siasa na kuwa mwananchi wa kawaida katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam leo kwenye hoteli ya Serena.

Na Mwandishi wetu

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa ameeleza Watanzania kwamba amestaafu siasa baada ya chama hicho kumpokea aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa.

Aidha amesema kwamba pamoja na yeye kushiriki katika mazungumzo...

 

9 years ago

Vijimambo

Kilichofanyika mpaka Lowassa akatua CHADEMA na kufuta ndoto ya Dk. Slaa

USIKU wa Julai 10, 2015, Edward Lowassa, alipokea simu aliyoifahamu vema. Upande wa pili wa simu alizungumza mtu mwenye sauti nzito; Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). “ Mzee, nakukaribisha Chadema ili uongeze nguvu Ukawa”. Ndiyo ujumbe mfupi ambao Mbowe alimpa Lowassa siku hiyo.
Ni mazungumzo hayo ya Julai 10, ndiyo hatimaye yalimfikisha Waziri Mkuu huyo wa kwanza wa serikali ya Awamu ya Nne kwenye uamuzi wa kujiunga na Chadema mnamo Julai 28 mwaka huu,...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mtanzania

Ni Lowassa vs Slaa

Lowassa vs SlaaFredy Azzah na Elias Msuya

RIPOTI ya utafiti ya taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza yenye kichwa cha habari, ‘Tanzania kuelekea 2015’, imeonesha kuwa asilimia 47 ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, hawatarejea bungeni katika uchaguzi mkuu ujao.

Utafiti huo ujulikanao kama sauti za wananchi ulifanywa kwa njia ya simu ambapo mwaka 2012 watu waliohojiwa ni 2,000,  mwaka 2013 1,574 na mwaka 2014 watu waliohojiwa ni 1,445.

Ripoti hiyo inaeleza kuwa, asilimia 47 ya wananachi...

 

10 years ago

Mwananchi

LOWASSA CHADEMA: Fitina zimempeleka Lowassa upinzani

>Hatimaye waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa amekitosa chama chake cha CCM na kutua Chadema. Huko ndiko anatarajia kuendelea na safari yake ya matumaini aliyoianza na sasa anatarajiwa kupambana na ikiwezekana kukidhoofisha chama kilichomlea katika harakati za kuingia Ikulu.

 

10 years ago

GPL

LOWASSA, DK. SLAA WAZUA JAMBO

Mwandishi wetu Mambo ya uchaguzi! Mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibroad Slaa wamezua jambo baada ya kusababisha mpasuko miongoni mwa wanachama wa chama hicho. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1LZYZjU

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa afuta nyayo za Dk. Slaa

Lowassa akihutubiaNa Fredy Azzah, Karatu

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana aliutikisa Mji wa Karatu wakati akifanya mikutano yake ya kampeni iliyohudhuriwa na maelfu ya wananchi.

Lowassa ambaye anaungwa mkono na vyama vinne vya upinzani ambavyo ni Chadema, NCCR- Mageuzi, Chama cha Wananchi (CUF) na Natonal League for Democracy (NLD) vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) akitumia kauli mbiu yake ya ‘Mabadiliko, Lowassa’ alionekana kuamsha hamasa kubwa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Lowassa, Dk. Slaa, tusipotoshe ukweli

MSEMA kweli ni mpenzi wa Mungu.

Privatus Karugendo

 

10 years ago

TheCitizen

Lowassa, Slaa still the most preferred candidates

As the race for President Kikwete’s succession intensify within the ruling party, fresh findings show that Mr Edward Lowassa was leading by 17 per cent, followed closely by Prime Minister Mizengo Pinda with 14 per cent, according to Twaweza survey report released yesterday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani