Lowassa, Slaa still the most preferred candidates
As the race for President Kikwete’s succession intensify within the ruling party, fresh findings show that Mr Edward Lowassa was leading by 17 per cent, followed closely by Prime Minister Mizengo Pinda with 14 per cent, according to Twaweza survey report released yesterday.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen18 Oct
Dr Magufuli and Lowassa skip presidential candidates’ debate
10 years ago
Mtanzania13 Nov
Ni Lowassa vs Slaa
Fredy Azzah na Elias Msuya
RIPOTI ya utafiti ya taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza yenye kichwa cha habari, ‘Tanzania kuelekea 2015’, imeonesha kuwa asilimia 47 ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, hawatarejea bungeni katika uchaguzi mkuu ujao.
Utafiti huo ujulikanao kama sauti za wananchi ulifanywa kwa njia ya simu ambapo mwaka 2012 watu waliohojiwa ni 2,000, mwaka 2013 1,574 na mwaka 2014 watu waliohojiwa ni 1,445.
Ripoti hiyo inaeleza kuwa, asilimia 47 ya wananachi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BDlvIDeZhzj5HL72cMjZrdHhM4TPkDFVrAUN1-WOylq9VBBQ2h3roXv4PfeF-c6XcmtQs85ZbQkMsZDXYTCECtV9KLKxsfeP/lowasa.gif?width=650)
LOWASSA, DK. SLAA WAZUA JAMBO
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
9 years ago
Daily News01 Sep
Slaa slams Chadema on Lowassa
IPPmedia
Daily News
CHADEMA has lost credibility and public trust for accepting former Prime Minister Edward Lowassa who has incessantly been implicated in various corrupt practices, the opposition party's former Secretary General, Dr Willibrod Slaa, charged in Dar es ...
Lowassa promises to control national debtIPPmedia
all 4
9 years ago
Mtanzania10 Oct
Lowassa afuta nyayo za Dk. Slaa
Na Fredy Azzah, Karatu
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana aliutikisa Mji wa Karatu wakati akifanya mikutano yake ya kampeni iliyohudhuriwa na maelfu ya wananchi.
Lowassa ambaye anaungwa mkono na vyama vinne vya upinzani ambavyo ni Chadema, NCCR- Mageuzi, Chama cha Wananchi (CUF) na Natonal League for Democracy (NLD) vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) akitumia kauli mbiu yake ya ‘Mabadiliko, Lowassa’ alionekana kuamsha hamasa kubwa...
10 years ago
IPPmedia04 Aug
Mbowe: Dr Slaa was against Lowassa move
IPPmedia
Chadema National Chairman Freeman Mbowe yesterday admitted having differed with Secretary General Wilbrod Slaa in accepting former Premier Edward Lowassa to join Chadema. Mbowe also allayed concerns that Slaa has seceded in protest of ...
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Mbowe: Kwa nini Lowassa, si Dk Slaa
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Dk. Slaa aichojoa ndoa ya CHADEMA na Lowassa
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbroad Slaa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu azma yake ya kuachana na siasa na kuwa mwananchi wa kawaida katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam leo kwenye hoteli ya Serena.
Na Mwandishi wetu
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa ameeleza Watanzania kwamba amestaafu siasa baada ya chama hicho kumpokea aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa.
Aidha amesema kwamba pamoja na yeye kushiriki katika mazungumzo...