Lowassa, Dk. Slaa, tusipotoshe ukweli
MSEMA kweli ni mpenzi wa Mungu.
Privatus Karugendo
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/l5U69tqPk5VVevXxNQPEKUVlwGHOEjSkwhhEXbkelRU*emEJuoOvg9L*vOsbw*zaqb7a*ZMP4zTkdg3Y9KsVXah2q70tcuNf/DrSlaa.gif?width=650)
KUHUSU DK. SLAA KUMKATAA LOWASSA UKWELI NI HUU
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cvXWZ4ZOEvA/VbzssgDNGCI/AAAAAAAACpA/dfY-57Dv0SU/s72-c/SLAA.jpeg)
Ukweli kuhusu Dr. Slaa by A.N Chilongola (LLM)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cvXWZ4ZOEvA/VbzssgDNGCI/AAAAAAAACpA/dfY-57Dv0SU/s320/SLAA.jpeg)
Mimi kama kada wa chadema wa muda mrefu na mwanasheria mzoefu nimefanya utafiti na nimejiridhisha bila shaka yoyote kuwa hali si shwari ndani ya chadema licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa kuonesha kuwa hakuna...
9 years ago
Vijimambo15 Sep
Ukweli elimu bure ya Lowassa huu hapa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Edo-15Sept2015.png)
Lowassa katika uzinduzi wake wa kampeni alitoa ahadi ya kutoa elimu bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu iwapo atachaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano-hali iliyozua ubishi kutoka kwa Chama Cha Mapinduzi.
Baadhi ya vigogo wa CCM wanadai ni ndoto kutoa elimu bure kwa kuzingatia hali...
10 years ago
Vijimambo28 Jul
10 years ago
Mtanzania13 Nov
Ni Lowassa vs Slaa
Fredy Azzah na Elias Msuya
RIPOTI ya utafiti ya taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza yenye kichwa cha habari, ‘Tanzania kuelekea 2015’, imeonesha kuwa asilimia 47 ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, hawatarejea bungeni katika uchaguzi mkuu ujao.
Utafiti huo ujulikanao kama sauti za wananchi ulifanywa kwa njia ya simu ambapo mwaka 2012 watu waliohojiwa ni 2,000, mwaka 2013 1,574 na mwaka 2014 watu waliohojiwa ni 1,445.
Ripoti hiyo inaeleza kuwa, asilimia 47 ya wananachi...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar31 Aug
Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond
Monday, August 31, 2015 MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta ametaka uandaliwe mdahalo kwenye vyombo vya habari kati yake na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa […]
The post Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BDlvIDeZhzj5HL72cMjZrdHhM4TPkDFVrAUN1-WOylq9VBBQ2h3roXv4PfeF-c6XcmtQs85ZbQkMsZDXYTCECtV9KLKxsfeP/lowasa.gif?width=650)
LOWASSA, DK. SLAA WAZUA JAMBO
10 years ago
IPPmedia04 Aug
Mbowe: Dr Slaa was against Lowassa move
IPPmedia
Chadema National Chairman Freeman Mbowe yesterday admitted having differed with Secretary General Wilbrod Slaa in accepting former Premier Edward Lowassa to join Chadema. Mbowe also allayed concerns that Slaa has seceded in protest of ...
9 years ago
Mtanzania10 Oct
Lowassa afuta nyayo za Dk. Slaa
Na Fredy Azzah, Karatu
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana aliutikisa Mji wa Karatu wakati akifanya mikutano yake ya kampeni iliyohudhuriwa na maelfu ya wananchi.
Lowassa ambaye anaungwa mkono na vyama vinne vya upinzani ambavyo ni Chadema, NCCR- Mageuzi, Chama cha Wananchi (CUF) na Natonal League for Democracy (NLD) vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) akitumia kauli mbiu yake ya ‘Mabadiliko, Lowassa’ alionekana kuamsha hamasa kubwa...