Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond
Monday, August 31, 2015 MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta ametaka uandaliwe mdahalo kwenye vyombo vya habari kati yake na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa […]
The post Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo31 Aug
Sitta ataka akutanishwe na Lowassa
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta ametaka uandaliwe mdahalo kwenye vyombo vya habari kati yake na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa uelezwe ukweli juu ya ukweli wa sakata la Richmond.
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Sitta ataka mdahalo na Lowassa
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s72-c/1.jpg)
Ukweli wa Sakata Zima la Richmond Na Jinsi Lowassa Alivyohusishwa na Sakata Hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s1600/1.jpg)
Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa amefunguka na kueleza ukweli halisi wa sakata zima la Richmond lililomfanya achukue uamuzi wa kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri mwaka 2008.Katika maojiano maalumu na Mpekuzi,Lowassa amewaka wazi kuwa anapata shida kujua kama tupo makini kusimamia ipasavyo mambo yanayohusu maisha yetu,kwani masihara ya kisiasa yaliyoratibiwa na baadhi ya wabunge ndiyo yaliyosababisha serikali ...
11 years ago
IPPmedia13 Mar
CA's Chair is Samwel Sitta
IPPmedia
IPPmedia
Memorable occasion as former Prime Minister Edward Lowassa (L) and newly elected Constituent Assembly Chair Samwel Sitta shake hands in the House in Dodoma yesterday shortly after the latter had introduced himself to members as a candidate for the ...
11 years ago
IPPmedia26 Mar
Constituent Assembly Chairman, Samwel Sitta
IPPmedia
IPPmedia
Several members of the Constituent Assembly have faulted Chairman Samwel Sitta's appointments of the five members to the leadership committee. They were speaking after the Civic United Front Chairman Prof Ibrahim Lipumba turned down his ...
Lipumba rejects steering committee slotDaily News
all 5
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jh4_cm_EvVU/VJPampzPyPI/AAAAAAAG4XI/kM9hoD3Y0S4/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
hepi besdei ya kuzaliwa mhe. samwel sitta
![](http://1.bp.blogspot.com/-jh4_cm_EvVU/VJPampzPyPI/AAAAAAAG4XI/kM9hoD3Y0S4/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MNwGRh992gA/VJPam3ApkjI/AAAAAAAG4XM/rgo7GJACc3w/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
10 years ago
VijimamboMHE. SAMWEL SITTA AKUTANA NA WANADMV AFAFANUA VIFUNGU VYA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA
10 years ago
GPLMHE. SAMWEL SITTA AKUTANA NA WANADMV AFAFANUA VIFUNGU VYA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s72-c/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Amshambulia LOWASSA Kuhusu Sakata la Richmond Mwigulu Nchemba naye Adai Lowassa Ni Mpiga Dili Tangu Kijana
![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s640/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Akihutibia UmatiAliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuondoa madarakani aliyekuwa waziri mkuu Mh Edward Lowassa, Mh Harrsion Mwakyembe amewahakikishia watanzania kuwa walijiridhisha pasipo shaka kuhusika kwa Edward Lowassa katika sakata la Richmond na kwamba hawakumsingizia kama anavyojitetea hivi sasa.Mwakyembe aliyasema hayo mbele ya maelfu waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa mgombea urais wa CCM, Dk John...