hepi besdei ya kuzaliwa mhe. samwel sitta
![](http://1.bp.blogspot.com/-jh4_cm_EvVU/VJPampzPyPI/AAAAAAAG4XI/kM9hoD3Y0S4/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Watoto wa Mhe Samwel John Sitta wana furaha ya kusherehekea miaka 72 ya kuzaliwa kwa baba yao mpendwa. Wanatoa salamu za heri, upendo na furaha kwa mzee wao kufikisha miaka hiyo akiwa buheri wa afya na wanamtakia azime tena mishumaa mingine zaidi huku akiendelea kuwapenda kama wanavyompenda.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zm5TgCg8aEw/UxCRBIsHzOI/AAAAAAAFQTI/_l85PzZFPvg/s72-c/unnamed+(64).jpg)
HEPI BESDEI YA YA KUZALIWA MTOTO AARON
![](http://2.bp.blogspot.com/-zm5TgCg8aEw/UxCRBIsHzOI/AAAAAAAFQTI/_l85PzZFPvg/s1600/unnamed+(64).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ptlia-FuuRo/VEzrpBQFtwI/AAAAAAAGtaI/J7aVgITihVI/s72-c/unnamed%2B(1).png)
HEPI BESDEI YA KUZALIWA ANKAL SAMIYA
Ing. Ally Mlunga na Mai waifu wake Swabra Ngomoi, wanayofuraha kusherehekea pamoja na binti yao siku yake ya kuzaliwa akiwa anatimiza miaka miwili. Kwa pamoja wanamtakia maisha mema yenye mafanikio.
Besdei gel Samiya akisaidiwa na kaka yake (Salum) kugawanya Keki ya besdei yake ili yeye na waalikwa wengine wapate kuila. Mambo ya kata keeeki tuleeeeeee... kata keeki tuleeeeee...!!!
Besdei gel Samiya akipewa kampani na kaka yake Salum katika siku yake hii ya furaha.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ptlia-FuuRo/VEzrpBQFtwI/AAAAAAAGtaI/J7aVgITihVI/s1600/unnamed%2B(1).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sCzg-DGjsk4/VEzrpRLVmII/AAAAAAAGtaM/60MqVPNxSjw/s1600/unnamed.png)
10 years ago
Michuzi11 Jan
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MWANALIBENEKE WA DEMASHO
Wahenga wanasema maisha ni Safari na siku hazigandi, nakama maisha ni safari basi kila kukicha twakumbana na masaibu ya kukatisha tamaa ya kukupa moyo wa kusonga lakini jibu pekee ni kupambana nayo tu sikurudi nyuma. Nakama siku hazigadi basi ni dhahiri shairi kuwa umri unasonga siku hadi siku na huwezi kuurudisha nyuma.
Basi katika siku hii muhimu ya kukumbuka kuzaliwa kwako, NAPENDA...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hrFE1ZsmuoU/VPJb9VOAVfI/AAAAAAAAqcw/f1uYO_JIrrE/s72-c/MMG25737.jpg)
HEPI BESDEI YA KUZALIWA OTHMAN MICHUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-hrFE1ZsmuoU/VPJb9VOAVfI/AAAAAAAAqcw/f1uYO_JIrrE/s1600/MMG25737.jpg)
pia nitakuwa ni mchoyo wa Fadhila iwapo sitotoa shukrani za kipekee kwa ndugu zangu woote (wakiwemo wazazi wangu wawili na akina Ankal Issa Michuzi, Ahmad Michuzi, Karim Michuzi, Ramadhan Michuzi, Ismail...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7W7X19GBwF4/U_gshtgrdUI/AAAAAAAGBhE/yFkgFYVNC1k/s72-c/10371898_767465896644945_6491477324471418454_n.jpg)
hepi besdei ya kuzaliwa MWANALIBENEKE MC BARAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-7W7X19GBwF4/U_gshtgrdUI/AAAAAAAGBhE/yFkgFYVNC1k/s1600/10371898_767465896644945_6491477324471418454_n.jpg)
Namshukru mwenyezi mungu kunifikisha siku hii ya leo Jumamosi Aug 23 nikiwa naadhimisha siku ya kuzaliwa kwangu. Namshukuru Mungu kwa kunipa nguvu na ujasili wa kupambana na misukosuko ya hapa na pale hakika yeye ndiye muweza wa kila jambo mpaka mie kufika hapa nilipo.Natoa shukrani kubwa kwa wadau,ndugu na marafiki pamoja na wanalibeneke wanao endelea kuniunga mkono.HAPPY BIRTHDAY TO ME!
11 years ago
Michuzihepi besdei ya kuzaliwa mdau Krantz Mwantepele
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-O7WALqKvj_0/Vosz0CNeBCI/AAAAAAAIQWw/3B6TnivZyF0/s72-c/6c547317-07f7-4d8c-81d1-b7f680b659ce.jpg)
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MTOTO BRAYDEN MOSES
![](http://2.bp.blogspot.com/-O7WALqKvj_0/Vosz0CNeBCI/AAAAAAAIQWw/3B6TnivZyF0/s640/6c547317-07f7-4d8c-81d1-b7f680b659ce.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LEGzxVbtZyk/Vosz0A6aa2I/AAAAAAAIQWs/-D5ZlXUu1gM/s640/ddc362f9-c0be-4e58-be1a-eea6aa480daa.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4cCbpzf26Rk/VYkJwuJhSLI/AAAAAAAHir8/WLR2-oAyiA8/s72-c/unnamed%2B%252879%2529.jpg)
hepi besdei ya kuzaliwa mtoto Sameer Kikwappe
![](http://1.bp.blogspot.com/-4cCbpzf26Rk/VYkJwuJhSLI/AAAAAAAHir8/WLR2-oAyiA8/s640/unnamed%2B%252879%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DHiI15pe7lk/VNr-dsJVmKI/AAAAAAAHC_0/Y8TabStWt1Q/s72-c/unnamed%2B(60).jpg)
hepi besdei ya miaka 80 ya kuzaliwa yanga leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-DHiI15pe7lk/VNr-dsJVmKI/AAAAAAAHC_0/Y8TabStWt1Q/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pfhjrMknt1Q/VNr-d_E-xJI/AAAAAAAHC_4/qVtVvfJlR_g/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania