Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TWAWEZA WAONYA VURUGU UCHAGUZI MKUU!

Meneja wa Sauti za Wananchi wa Twaweza, Elvis Mushi (kulia) akitoa ufafanuzi katika mkutano huo. Kushoto ni Afisa Masoko wa Twaweza, Costantine Magavilla. Viongozi mbalimbali wa taasisi na wanahabari wakifuatilia semina hiyo. Viongozi wengine…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Majibu kwa dukukudu kuhusu kura ya maoni ya Uchaguzi Mkuu ya TWAWEZA


Majibu kwa Dukuduku Kuhusu Utafiti Wa Kura Ya Maoni Wa TWAWEZA by Evarist Chahali

 

10 years ago

GPL

MAMBO 15 YATAKAYOTULETEA VURUGU UCHAGUZI MKUU YASIPODHIBITIWA

Rais wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete akiwa Ikulu katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa siasa nchini.
Eric Shigongo TUANZE makala haya kwa kumsifu Mungu aliye hai kwa kutupa uzima siku ya leo, hakika hakuna Mungu kama yeye. Baada ya kusema hayo niseme kwamba mataifa mengi ya Kiafrika yamekuwa yakiingia katika vurugu na machafuko makubwa unapofika uchaguzi mkuu kwani wakati huo vyama vya upinzani huwa vinaomba ridhaa...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMBO 15 YATAKAYOTULETEA VURUGU UCHAGUZI MKUU YASIPODHIBITIWA

Rais wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete akiwa Ikulu katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa siasa nchini.
Eric Shigongo

TUANZE makala haya kwa kumsifu Mungu aliye hai kwa kutupa uzima siku ya leo, hakika hakuna Mungu kama yeye.

Baada ya kusema hayo niseme kwamba mataifa mengi ya Kiafrika yamekuwa yakiingia katika vurugu na machafuko makubwa unapofika uchaguzi mkuu kwani wakati huo vyama vya upinzani huwa vinaomba ridhaa ya wananchi kuchaguliwa kushika dola, huku chama tawala kikiomba...

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI MSIWE NA HOFU,HAKUTAKUWA NA VURUGU UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA KALENGA-MKUU WA MKOA IRINGA

Mkuu wa mkoa wa iringa DK CHRISTIN ISHENGOMA amewataka wananchi mkoani  Iringa,kutokuwa na hofu katika kipindi hiki cha kuelekea kampeni za uchaguzi wa jimbo la kalenga.
Akizungumza leo  kwenye moja ya kituo cha redio mjini humo,Nuru FM ,kupitia kipindi cha sunrisepower, amesema kuwa tayari ameshakaa na kamati yake ya Ulinzi na Usalama akiwemo Kamanda wa Jeshi la Polisi,aidha ameongeza kuwa wamejiandaa kikamilifu katika ulinzi, hivyo wananchi wanapaswa kutokuwa na hofu.
Amesema kuwa...

 

5 years ago

Michuzi

DKT.MAGUFULI:UCHAGUZI MKUU UTAKUWA HURU NA HAKI KWA VYAMA VYOTE, WANAOPANGA KULETA VURUGU SERIKALI IKO MACHO

Na Leandra Gabriel, Michuzi TVRAIS Dkt. John Magufuli amesema kuwa Uchaguzi Mkuu unaotegemewa kufanyika Oktoba mwaka huu utakuwa huru na haki kwa vyama vyote huku akitahadharisha wale wote watakaoleta vurugu na kauli za matusi watambue Serikali ipo macho na haitovumilia.
Akizungumza leo Juni 16,2020 jijini Dodoma wakati akifunga Bunge la 11, Rais Magufuli amesema kuwa uchaguzi huo utakua wa huru na haki kwa kuwa ndio Demokrasia huku akivitaka vyama kutoa nafasi za kugombea kwa wanawake,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Twaweza yatoa matokeo ya utafiti juu ya Uchaguzi nchini 2015

Print

aidan

Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza Bw. Aidan Eyakuze.(Picha na Maktaba).

 

Na Ally Daud-MAELEZO.

Taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza imetoa matokeo ya utafiti uliyofanywa juu ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu ambapo utafiti huo unaonesha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndio kinachopendwa na wananchi kuliko chama kingine cha  siasa hapa nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wadau mbalimbali jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza Bw. Aidan Eyakuze alisema katika utafiti...

 

10 years ago

CloudsFM

TWAWEZA: KAMA UCHAGUZI UNGEFANYIKA LEO LOWASSA ANGEKUWA RAIS

Matokeo ya utafiti kuhusu kinyang’anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu 2015 ambayo yanaonyesha kuwa iwapo ungefanyika leo, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa angeibuka mshindi.
Wakati Lowassa angeibuka na ushindi kwa asilimia 13 na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda angefuatia kwa karibu akiwa na asilimia 12 huku Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa akiwa wa tatu kwa asilimia kumi na moja.

Hata hivyo, asilimia 33 ya wananchi waliohojiwa walisema bado hawajaamua wampigie kura mgombea gani.

...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi

Polisi nchini Burundi wamesema kuwa wamewakamata watu wapatao 64 kutoka chama kikuu cha siasa cha CNL, kumekuwa na ghasia pamoja na mauaji dhidi ya wanachama wa chama kikuu katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa rais tarehe 20 Mei.

 

11 years ago

Mwananchi

Tume ya uchaguzi yalaani vurugu

Tume ya Taifa ya Uchaguzi(Nec), imekemea vitendo vya vurugu na uvunjifu wa amani vinavyotokea katika Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Madiwani katika kata 27 zinazofikia tamati leo na kuviagiza vyombo vya dola kuwachukulia hatua bila kujali vyeo wala itikadi za wahusika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani