WANANCHI MSIWE NA HOFU,HAKUTAKUWA NA VURUGU UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA KALENGA-MKUU WA MKOA IRINGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-_rdFNI6Nvh8/Uwx-dk6-ykI/AAAAAAACbFs/7VIME4f1y-4/s72-c/MMG24848.jpg)
Mkuu wa mkoa wa iringa DK CHRISTIN ISHENGOMA amewataka wananchi mkoani Iringa,kutokuwa na hofu katika kipindi hiki cha kuelekea kampeni za uchaguzi wa jimbo la kalenga.
Akizungumza leo kwenye moja ya kituo cha redio mjini humo,Nuru FM ,kupitia kipindi cha sunrisepower, amesema kuwa tayari ameshakaa na kamati yake ya Ulinzi na Usalama akiwemo Kamanda wa Jeshi la Polisi,aidha ameongeza kuwa wamejiandaa kikamilifu katika ulinzi, hivyo wananchi wanapaswa kutokuwa na hofu.
Amesema kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 Mar
UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA,MGOMBEA UBUNGE WA CCM AKIJINADI KWA WANANCHI LEO KIJIJI CHA SADAN-IRINGA VIJIJINI
Msikilize Mgombea Ubunge jimbo la Kalenga kwa tiketi ya chama cha CCM,Godfrey Mgimwa akijinadi jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika kijiji cha Sadani kata ya Mseke,Iringa Vijijini.
11 years ago
Michuzi13 Feb
TAARIFA YA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA, IRINGA
![](https://4.bp.blogspot.com/-bB37K3eVcuU/UvuUysp06QI/AAAAAAACpCc/YoKooi7s91I/s1600/NEC_BANNER2.gif)
1. Uteuzi wa Wagombea Ubugne utafanyika tarehe...
11 years ago
Michuzi07 Mar
10 years ago
StarTV03 Mar
Pinda: Hakutakuwa na uchaguzi mdogo Jimbo la Mbinga.
Na Mkombe Zanda,
Mbeya.
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema hakuna uchaguzi mdogo utakaofanyika ili kujaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbinga Magharibi, Marehemu Kapteni John Komba, aliyefariki duania juzi jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Pinda, amesema kutokana na muda uliobaki kabla ya Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu Sheria ya Uchaguzi namba Nne ya mwaka 1985 hairuhusu kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa kujaza nafasi hiyo.
Kifo cha Mbunge wa Mbinga Magharibi,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hWCstz4R7xI/UxRX5lSYFfI/AAAAAAACbd4/cxyQUur-XbE/s72-c/mto.jpg)
MANGULA AWASILI MKOANI IRINGA LEO,AKABIDHIWA MAJINA 20 YA WANAODAIWA KUJIANDAA KUFANYA FUJO KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-hWCstz4R7xI/UxRX5lSYFfI/AAAAAAACbd4/cxyQUur-XbE/s1600/mto.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vCweFFKOucA/UxRS3fx9UYI/AAAAAAACbdM/nVmQ5-0Dx9s/s1600/2.jpg)
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Hofu ya vurugu yatanda jimbo la Kalenga
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-feEhwFEag-s/UxH85khES4I/AAAAAAACbYw/T1a-IoTL9To/s72-c/3.jpg)
KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA ZAZIDI KUSHIKA KASI,CCM YATAMBA KUNYAKUA JIMBO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-feEhwFEag-s/UxH85khES4I/AAAAAAACbYw/T1a-IoTL9To/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6GXqgDp6kj4/UxH8vP0yjaI/AAAAAAACbXc/ZMAW2mThT1w/s1600/13.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fjDlEFNDK04/UvmfktoKVnI/AAAAAAAFMTc/yau44oQ0eVY/s72-c/0,,6109263_4,00.jpg)
CUF KUTOWEKA MGOMBEA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-fjDlEFNDK04/UvmfktoKVnI/AAAAAAAFMTc/yau44oQ0eVY/s1600/0,,6109263_4,00.jpg)
Mbio za kuwania ubunge katika Jimbo la Kalenga unabaki kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya Chama cha Wananchi (CUF) kuthibitisha kutosimamisha mgombea. Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Umma wa CUF, Abdul Kambaya, amesema chama chake hakina mpango wa kusimamisha mgombea katika jimbo hilo na kwamba hivi sasa wanaandaa mikutano ya kuimarisha chama chao.“Mpaka sasa CUF haina mpango wa kusimamisha mgombea ubunge Kalenga… kwa sasa...
11 years ago
Michuzi13 Mar