MAMBO 15 YATAKAYOTULETEA VURUGU UCHAGUZI MKUU YASIPODHIBITIWA
![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3PckW3yopznFYjhx5gpwlLzs98dPT*xyYdemWEZmgGNE9uh8kIZIFJdCGgZ8SqtsNnsHJuB4yWkh8wsJk4MTL7A/JKNAWAPINZANIIKULU5.jpg)
Rais wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete akiwa Ikulu katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa siasa nchini. Eric Shigongo TUANZE makala haya kwa kumsifu Mungu aliye hai kwa kutupa uzima siku ya leo, hakika hakuna Mungu kama yeye. Baada ya kusema hayo niseme kwamba mataifa mengi ya Kiafrika yamekuwa yakiingia katika vurugu na machafuko makubwa unapofika uchaguzi mkuu kwani wakati huo vyama vya upinzani huwa vinaomba ridhaa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 Apr
MAMBO 15 YATAKAYOTULETEA VURUGU UCHAGUZI MKUU YASIPODHIBITIWA
![](http://api.ning.com/files/NpAlVAvTs3PckW3yopznFYjhx5gpwlLzs98dPT*xyYdemWEZmgGNE9uh8kIZIFJdCGgZ8SqtsNnsHJuB4yWkh8wsJk4MTL7A/JKNAWAPINZANIIKULU5.jpg)
Eric Shigongo
TUANZE makala haya kwa kumsifu Mungu aliye hai kwa kutupa uzima siku ya leo, hakika hakuna Mungu kama yeye.
Baada ya kusema hayo niseme kwamba mataifa mengi ya Kiafrika yamekuwa yakiingia katika vurugu na machafuko makubwa unapofika uchaguzi mkuu kwani wakati huo vyama vya upinzani huwa vinaomba ridhaa ya wananchi kuchaguliwa kushika dola, huku chama tawala kikiomba...
10 years ago
GPLTWAWEZA WAONYA VURUGU UCHAGUZI MKUU!
9 years ago
MichuziVIJANA WA NCHI MWANACHAMA WA MAZIWA MKUU KUSHUHUDIA MAMBO YA UCHAGUZI MKUU HAPA NCHINI
10 years ago
Mwananchi23 Apr
Mambo 20 yanayoweza kuvuruga Uchaguzi Mkuu
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_rdFNI6Nvh8/Uwx-dk6-ykI/AAAAAAACbFs/7VIME4f1y-4/s72-c/MMG24848.jpg)
WANANCHI MSIWE NA HOFU,HAKUTAKUWA NA VURUGU UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA KALENGA-MKUU WA MKOA IRINGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-_rdFNI6Nvh8/Uwx-dk6-ykI/AAAAAAACbFs/7VIME4f1y-4/s1600/MMG24848.jpg)
Akizungumza leo kwenye moja ya kituo cha redio mjini humo,Nuru FM ,kupitia kipindi cha sunrisepower, amesema kuwa tayari ameshakaa na kamati yake ya Ulinzi na Usalama akiwemo Kamanda wa Jeshi la Polisi,aidha ameongeza kuwa wamejiandaa kikamilifu katika ulinzi, hivyo wananchi wanapaswa kutokuwa na hofu.
Amesema kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzDMI5t5-3Mrao9FkjYa3WR2sA1NCiOQrFt8Dm1uye0-JY9TxC5wfYcYlT2-xdn8Ri6egV6XnZ*brRP4g-nxhZt7/kk.jpg?width=650)
KURA YA MAONI, UCHAGUZI MKUU NI MAMBO YANAYOJADILIKA, YASITUFARAKANISHE
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI NA KUWAPONGEZA KWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU KWA AMANI NA UTULIVU
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Mambo sita muhimu kuelekea Kura ya Maoni, Uchaguzi Mkuu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S9YRJiCRXVY/XuiWT1yOYBI/AAAAAAALt_g/8NN6LYpV6k8C7mz3ooiYPxxQob3IwfRCgCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20190624-082145.jpg)
DKT.MAGUFULI:UCHAGUZI MKUU UTAKUWA HURU NA HAKI KWA VYAMA VYOTE, WANAOPANGA KULETA VURUGU SERIKALI IKO MACHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-S9YRJiCRXVY/XuiWT1yOYBI/AAAAAAALt_g/8NN6LYpV6k8C7mz3ooiYPxxQob3IwfRCgCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot_20190624-082145.jpg)
Akizungumza leo Juni 16,2020 jijini Dodoma wakati akifunga Bunge la 11, Rais Magufuli amesema kuwa uchaguzi huo utakua wa huru na haki kwa kuwa ndio Demokrasia huku akivitaka vyama kutoa nafasi za kugombea kwa wanawake,...