Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo 20 yanayoweza kuvuruga Uchaguzi Mkuu

Arusha. Mataifa mengi na hasa ya Kiafrika yamekuwa yakiingia katika vurugu na machafuko makubwa unapofika uchaguzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Seif Ali Idd aweka wazi CCM imejipanga kudhibiti wenye nia ya kuvuruga uchaguzi mkuu ujao

948

Mlezi wa CCM Mkoa wa Magharibi Balozi Seif akimkabidhi kadi mwanachama Thuwaiba Jeni Pandu akiwa miongoni mwa wanachama wapya wa CCM na Jumuia zake kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Tawi la CCM Pangawe Jimbo la Fuoni.

Na Othman Khamis Ame.
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.

 Mlezi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Magharibi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi, amewahakikishia wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwamba...

 

9 years ago

Michuzi

VIJANA WA NCHI MWANACHAMA WA MAZIWA MKUU KUSHUHUDIA MAMBO YA UCHAGUZI MKUU HAPA NCHINI

Balozi wa maziwa makuu nchini Kenya, katika wizara ya mambo ya nje, Muburi Muita,MBS  akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya ushiriki wa vijana katika uchaguzi mkuu utakaofanyika kesho Oktoba 25 mwaka huu pamoja na ushiriki wa vijana katika uchaguzi huo. Mwenyekiti wa wa kamati ya uchaguzi wa  vijana wa nchi za maziwa makuu ,Adv.Kabyemela Lushagara akitoa maada katika mkutano wa vijana wa nchi mwanachama wa maziwa makuu pamoja na kuzungumza na baadhi ya vijana wa nchi za...

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo yanayoweza kukusaidia kutambua kama ujumbe unaopata ni sahihi

Ninaamini unafahamu nini inabidi kifanyike ili kuwe na mawasiliano ya kauli. Lazima kuwapo na kitendo cha kusema na kusikiliza, lakini ili mchakato wa kutuma ujumbe ukamilike, lazima pia ujumbe utoke kwa mtu mmoja kwenda mwingine na pia iwepo njia ya kutuma ujumbe.

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Mambo yanayoweza kukusaidia kutambua kama ujumbe unaopata ni sahihi

Ninaamini unafahamu nini inabidi kifanyike ili kuwe na mawasiliano ya kauli. Lazima kuwapo na kitendo cha kusema na kusikiliza, lakini ili mchakato wa kutuma ujumbe ukamilike, lazima pia ujumbe utoke kwa mtu mmoja kwenda mwingine pia iwepo njia ya kutuma ujumbe.

 

10 years ago

Vijimambo

MAMBO 15 YATAKAYOTULETEA VURUGU UCHAGUZI MKUU YASIPODHIBITIWA

Rais wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete akiwa Ikulu katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa siasa nchini.
Eric Shigongo

TUANZE makala haya kwa kumsifu Mungu aliye hai kwa kutupa uzima siku ya leo, hakika hakuna Mungu kama yeye.

Baada ya kusema hayo niseme kwamba mataifa mengi ya Kiafrika yamekuwa yakiingia katika vurugu na machafuko makubwa unapofika uchaguzi mkuu kwani wakati huo vyama vya upinzani huwa vinaomba ridhaa ya wananchi kuchaguliwa kushika dola, huku chama tawala kikiomba...

 

10 years ago

GPL

MAMBO 15 YATAKAYOTULETEA VURUGU UCHAGUZI MKUU YASIPODHIBITIWA

Rais wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete akiwa Ikulu katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa siasa nchini.
Eric Shigongo TUANZE makala haya kwa kumsifu Mungu aliye hai kwa kutupa uzima siku ya leo, hakika hakuna Mungu kama yeye. Baada ya kusema hayo niseme kwamba mataifa mengi ya Kiafrika yamekuwa yakiingia katika vurugu na machafuko makubwa unapofika uchaguzi mkuu kwani wakati huo vyama vya upinzani huwa vinaomba ridhaa...

 

10 years ago

GPL

KURA YA MAONI, UCHAGUZI MKUU NI MAMBO YANAYOJADILIKA, YASITUFARAKANISHE

Rais Jakaya Kikwete. Eric Shigongo
Nianze kwa kumtukuza Mungu muumba mbingu na nchi na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, hakuna wa kumuabudu ila yeye tu.Nianze makala yangu kwa kusema kuwa bado hakuna mwafaka kuhusu hatima ya Katiba Mpya, baada ya kuahirishwa kwa upigaji kura ya maoni iliyopaswa ifanyike Aprili 30, mwaka huu kama alivyowahi kutangaza Rais Jakaya Kikwete. Wakati Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) na...

 

9 years ago

Michuzi

NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI NA KUWAPONGEZA KWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU KWA AMANI NA UTULIVU

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo, akizungumza na Maafisa wa Jeshi la Polisi, wakati wa mkutano wa Kujitambulisha na kufahamiana na Watendaji wakuu na Maafisa wa Jeshi la Polisi uliofanyika Makao Makuu ya Jeshi hilo, jijini Dar es Salaam leo. Katika hotuba yake, Mngodo alilipongeza jeshi hilo kwa kusimamia Uchaguzi Mkuu kwa amani na utulivu. Kulia kwa Katibu Mkuu ni Inspekta Jenerali wa Jeshi hilo (IGP), Ernest Mangu. Inspekta Jenerali wa Jeshi la...

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo sita muhimu kuelekea Kura ya Maoni, Uchaguzi Mkuu

Hofu ya kukataliwa kwa Katiba Mpya kumeifanya Serikali ivunje makubaliano ya Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kwamba Kura ya Maoni isitishwe hadi baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani