Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo yanayoweza kukusaidia kutambua kama ujumbe unaopata ni sahihi

Ninaamini unafahamu nini inabidi kifanyike ili kuwe na mawasiliano ya kauli. Lazima kuwapo na kitendo cha kusema na kusikiliza, lakini ili mchakato wa kutuma ujumbe ukamilike, lazima pia ujumbe utoke kwa mtu mmoja kwenda mwingine na pia iwepo njia ya kutuma ujumbe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Mambo yanayoweza kukusaidia kutambua kama ujumbe unaopata ni sahihi

Ninaamini unafahamu nini inabidi kifanyike ili kuwe na mawasiliano ya kauli. Lazima kuwapo na kitendo cha kusema na kusikiliza, lakini ili mchakato wa kutuma ujumbe ukamilike, lazima pia ujumbe utoke kwa mtu mmoja kwenda mwingine pia iwepo njia ya kutuma ujumbe.

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : jinsi ya kutambua ujumbe sahihi

Ninaamini unafahamu nini inabidi kifanyike ili yapatikane mawasiliano ya kauli. Kuna vitendo viwili vya kuzungumza na kusikiliza, unaelewa fika kuwa ili mchakato wa kutuma ujumbe ukamilike unatakiwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo muhimu ya kukusaidia kuwa na furaha muda wote

Ni vyema ukifahamu kwamba baadhi ya vitu unavyovitegemea vinaweza visikupe furaha unayoitamani, yamkini mumeo au mkeo asikupe furaha, yamkini fedha na mali ulizonazo zisikupe furaha ya kweli. Jaribu kubeba jukumu la kujihakikishia una furaha pasipo kutegemea mazingira ya vitu au watu wanaokuzunguka. Chukua jukumu la la kuzalisha, kuitunza na kuiendeleza ile furaha na amani inayoishi ndani yako.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo 20 yanayoweza kuvuruga Uchaguzi Mkuu

Arusha. Mataifa mengi na hasa ya Kiafrika yamekuwa yakiingia katika vurugu na machafuko makubwa unapofika uchaguzi.

 

9 years ago

Bongo5

Njia za kukusaidia kufanya mabadiliko hata kama kubadilika ni kazi ngumu

Viongozi wazuri huweza kushughulikia mabadiliko vizuri, iwe kwenye ngazi ya kisiasa, kijamii na hata kibiashara. Rais Jonathan anaweza akawa mtu wa kuigwa kwenye siasa za Nigeria kitu ambacho mataifa mengi ya Afrika wanashindwa kufanya na hata yale ya Mashariki ya Kati. Kuna viongozi wao wanadhani wao ndio kila kitu au miungu wadogo lakini ukweli wa […]

 

9 years ago

GPL

MAMBO YATAKAYOSABABISHA KURA YAKO IWE IMEHARIBIKA AU SAHIHI


Kura halali zitakazopigwa siku ya Jumapili kwa ajili ya kuwachagua viongozi kwenye Uchaguzi Mkuu zinaweza kuharibika ikiwa hazitapigwa kwa usahihi na kuondoa utata.. Kura iliyoharibika ni ile ambayo: Haina alama yoyote Imepigwa kwa wagombea zaidi ya mmoja Imeandikwa jina la mpiga kura Alama imewekwa nje ya kisanduku cha picha ya mgombea Haina muhuri wenye alama rasmi Kura sahihi;
Yenye alama ya...

 

9 years ago

Michuzi

UJUMBE WA UBALOZI WA CHINA NCHINI WAMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

 Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China hapa nchini, Lu Youqin akizungumza katika kikao na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Mhe. Charles Kitwanga (wa pili upande wa kushoto).  Katika kikao hicho kilichofanyika Wizara hapo, viongozi hawa walijadili masuala mbalimbali kuhusu ushirikiano wa Serikali ya China na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Charles Kitwanga (wa kwanza upande wa kulia), akimsikiliza Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Lu...

 

10 years ago

Vijimambo

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje akutana na Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha (mwenye tai) akisalimiana na Balozi wa Italia nchini Tanzania, Mhe. Luigi Scotto alipotembelea Wizarani leo.Balozi Gamaha akisalimiana na Kansela Raffaele De Benedictis kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia ambaye alifuatana na Balozi Scotto walipotembelea Wizara ya Mambo ya Nje leo. Balozi wa Italia (katikati) akimtambulisha Kansela Benedictis kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia kwa Kaimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani