Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpoto adai kama asingekuwa msanii angekuwa mpishi

Mrisho Mpoto amedai kama asingekuwa msanii wa muziki, angekuwa mpishi wa vyakula kwa kuwa anapenda kupika. Akizungumza na Global TV, Mpoto alisema kuwa msanii wa muziki ni kitu ambacho hakikutarajia katika maisha yake. “Mimi napenda sana kula labda ningekuwa mpishi,@ alisema Mpoto. Aliongeza, “Mimi nimetokea uswahilini sana tulikuwa hatuna masuala ya vision wala mission. Mimi […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

TWAWEZA: KAMA UCHAGUZI UNGEFANYIKA LEO LOWASSA ANGEKUWA RAIS

Matokeo ya utafiti kuhusu kinyang’anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu 2015 ambayo yanaonyesha kuwa iwapo ungefanyika leo, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa angeibuka mshindi.
Wakati Lowassa angeibuka na ushindi kwa asilimia 13 na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda angefuatia kwa karibu akiwa na asilimia 12 huku Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa akiwa wa tatu kwa asilimia kumi na moja.

Hata hivyo, asilimia 33 ya wananchi waliohojiwa walisema bado hawajaamua wampigie kura mgombea gani.

...

 

10 years ago

GPL

MSANII ADAI KUTOA MIMBA YA ALI KIBA

Andrew Carlos
DUNIA IMEKWISHA! Msanii wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ amedai licha ya kutembea na wasanii wengi, aliwahi kupata ujauzito wa mkali wa Bongo Fleva, Ali Kiba lakini kwa bahati mbaya, ikatoka, Risasi Mchanganyiko lina ‘full details’. Akifunguka bila wasiwasi mbele ya kamera na masikio ya waandishi, msanii huyo anayetambulika mtaani na filamu za Gundu na Judgement Day, aliwataja wasanii...

 

11 years ago

BBCSwahili

Adai ardhi kama ufalme wake Afrika

Mwanamme mmoja kutoka Marekani amedai umiliki wa kipande kidogo cha ardhi barani Afrika kama ufalme wake kwa sababu bintiye anataka kuwa binti mfalme.

 

9 years ago

Habarileo

Lema adai kama si kesi angefanya makubwa

MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika jimbo la Arusha, Godbless Lema, amewaomba wananchi wa jiji hilo kumpa kura kwani amefanya mambo mbalimbali ya maendeleo ikiwemo kuhakikisha mapato ndani ya halmashauri yanaongezeka, licha ya kile alichodaiwa kubambikwa kesi.

 

9 years ago

Bongo5

Julio adai hatokata tamaa na muziki hata kama haumlipi

Mshiriki wa BBA Julio

Staa wa muziki na mshiriki wa shindano la Big Brother Africa 2012, Julio Batalia, amesema hategemei muziki umlipe kwani bado yupo kwenye hatua za kujitangaza.

Julio

Julio ameiambia Bongo5, kuwa ingawa muziki umekuwa wa gharama kubwa katika maandalizi, hana budi kuendelea kufanya hivyo hivyo ili kujitenga.

“Mimi naamini muziki ni process ya muda mrefu,” amesema. “Kwahiyo mafanikio huenda yakachelewa lakini yatakuja tu. Kwahiyo mimi nipo katika stage hiyo sijali sana muziki unilipe kwa sasa kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol adai alikuwa haamini kama atafanikiwa bila kuwa na management

Mwimbaji wa R&B, Ben Pol amesema alikuwa haamini kama ataweza kutoka kimuziki bila kuwa na managament ya kumsimamia. “Mimi nilivyotoka kwenye lebo mwaka 2011, nilikuwa sina confidence ya kusema kwamba nitaweza kufanya muziki mwenyewe, sina record label. Lakini marafiki zangu wachache waliokuwa wanasikiliza nyimbo zangu na wengine ambao walikuwa kwenye media, walikuwa wanatumia nguvu yao […]

 

9 years ago

Bongo5

Msanii wa Nigeria Burna Boy aponda mfumo wa muziki wa Nigeria, adai umejaa siasa

Burna-Boy

Muimbaji wa Dancehall kutoka Nigeria, Burna Boy ameponda mfumo wa muziki wa Nigeria na kudai kuwa umejaa siasa ndio sababu hapati tuzo nyingi anazostahili.

Burna-Boy

Akizungumza na jarida la Fader, Burna amesema kutokana na hayo anajiona kama yeye si sehemu ya muziki wa Nigeria kwasababu kuna baadhi ya watu walioutawala muziki huo wasiompenda.

“Kusema kweli ni siasa tupu, sijioni kama ni sehemu ya kiwanda cha muziki, angalia tuzo, sipati tuzo kwasababu wanaoutawala hawanipendi, mimi sio kama...

 

9 years ago

Bongo5

Don Jazzy atangaza kustaafu muziki mwaka 2016 kama msanii

don jazzy

Don Jazzy, producer na muimbaji kutoka Nigeria amesema kuwa mwaka 2016 ana mpango wa kuacha kuimba na kubaki kuwa producer.

don jazzy

Don Jazzy ambaye ni boss wa Mavin Records yenye wasanii kama Tiwa Savage, ametangaza uamuzi huo kupitia Twitter.

This artist work no easy jare. 2016 I'm retiring my artist side jor. 🙏🏽#OneLagosFiesta for now sha.

— DON JAZZY (@DONJAZZY) December 27, 2015

Aliendelea kuthibitisha alichokimaanisha kama kweli anaacha kuimba baada ya shabiki mmoja kumuuliza kama yuko serious,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani