Adai ardhi kama ufalme wake Afrika
Mwanamme mmoja kutoka Marekani amedai umiliki wa kipande kidogo cha ardhi barani Afrika kama ufalme wake kwa sababu bintiye anataka kuwa binti mfalme.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo09 Sep
Lema adai kama si kesi angefanya makubwa
MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika jimbo la Arusha, Godbless Lema, amewaomba wananchi wa jiji hilo kumpa kura kwani amefanya mambo mbalimbali ya maendeleo ikiwemo kuhakikisha mapato ndani ya halmashauri yanaongezeka, licha ya kile alichodaiwa kubambikwa kesi.
9 years ago
Bongo502 Oct
Mpoto adai kama asingekuwa msanii angekuwa mpishi
9 years ago
Bongo521 Dec
Julio adai hatokata tamaa na muziki hata kama haumlipi
Staa wa muziki na mshiriki wa shindano la Big Brother Africa 2012, Julio Batalia, amesema hategemei muziki umlipe kwani bado yupo kwenye hatua za kujitangaza.
Julio ameiambia Bongo5, kuwa ingawa muziki umekuwa wa gharama kubwa katika maandalizi, hana budi kuendelea kufanya hivyo hivyo ili kujitenga.
“Mimi naamini muziki ni process ya muda mrefu,” amesema. “Kwahiyo mafanikio huenda yakachelewa lakini yatakuja tu. Kwahiyo mimi nipo katika stage hiyo sijali sana muziki unilipe kwa sasa kwa...
9 years ago
Bongo509 Oct
Ben Pol adai alikuwa haamini kama atafanikiwa bila kuwa na management
10 years ago
CloudsFM31 Jul
Nora Awananga Wanaodai Ameshazeeka..Adai yeye Ajagalagazwa Ovya Kama Hao Wengine wa Bongo Movies
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram, mkali wa sanaa ya uigizaji hapa Bongo, Nora amefunguka haya kwa wale wote wanaomponda eti amezeeka
Hivi nyinyi mnaoniambia mzee amuoni aibu loooo..hahahahhaaa mana mnafanya siku yangu iwe nzuri ni jinsi gani nawaumiza mpaka mnalopoka kama mmetoka usingizini.Hivi mimi mnaweza kujifananisha na nyinyi, hoooo ninamiaka mingi kweli na nimewazidi vingi sana, tabia, muonekano…haaaa mi sijagalagazwa ovyo nilijiheshimu tangu...
9 years ago
Bongo501 Oct
Victoria Kimani adai hapewi support na mashabiki wa nyumbani Kenya kama anayoipata Nigeria ambako sio kwao
9 years ago
Bongo517 Aug
Aslay adai hajutii kumweka wazi mpenzi wake
10 years ago
MichuziMAMA SALMA AHUTUBIA MKUTANO WA WAKE WA MARAIS NA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA (OAFLA) NCHINI AFRIKA KUSINI