Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nora Awananga Wanaodai Ameshazeeka..Adai yeye Ajagalagazwa Ovya Kama Hao Wengine wa Bongo Movies

Nora Bongo Movies

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram, mkali wa sanaa ya uigizaji hapa Bongo, Nora amefunguka haya kwa wale wote wanaomponda eti amezeeka

Hivi nyinyi mnaoniambia mzee amuoni aibu loooo..hahahahhaaa mana mnafanya siku yangu iwe nzuri ni jinsi gani nawaumiza mpaka mnalopoka kama mmetoka usingizini.Hivi mimi mnaweza kujifananisha na nyinyi, hoooo ninamiaka mingi kweli na nimewazidi vingi sana, tabia, muonekano…haaaa mi sijagalagazwa ovyo nilijiheshimu tangu...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Nora Awananga Wanaodai Ameshazeeka

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram, mkali wa sanaa ya uigizaji hapa Bongo, Nora amefunguka haya kwa wale wote wanaomponda eti amezeeka

Hivi nyinyi mnaoniambia mzee amuoni aibu loooo..hahahahhaaa mana mnafanya siku yangu iwe nzuri ni jinsi gani nawaumiza mpaka mnalopoka kama mmetoka usingizini.Hivi mimi mnaweza kujifananisha na nyinyi, hoooo ninamiaka mingi kweli na nimewazidi vingi sana, tabia, muonekano…haaaa mi sijagalagazwa ovyo nilijiheshimu tangu usichana wangu,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nora: Bongo Movies Wameshaharibu Sanaa ya Uigizaji Tanzania

MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ amedai kuwa ‘Bongo Movies’ wameharibu sanaa ya  uigizaji hapa Tanzania. Nora amefunguka hayo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa lokesheni wakishuti movie.

"Naipenda kazi yangu na ninaiheshim sanaaaaa hii ndo sanaa ilionikuza mpaka leo na bado nakua nayo Mungu afungue heri zake lol tunajua kukomaaa ila nais Mungu ndo ameandika.

Nitatumia kipaji changu akili yangu kuwatumikia...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nisha Awapasha Watayarishaji wa filamu na Mastaa wa Bongo Movies, Yeye Aonyesha Njia

Hili naomba niwaulize ma- producers, mastaaa wengine,na mashabiki wote.. hivi mnajua kuna vipaji sana nje ya wanaojiita mastaa ila bado hawajapata nafasi??

Hivi ni kubaniwa ama nini hadi wengine hawaonekani? Kama sisi tungebaniwa tungetoka?  Hebu tuacheni maringo na kusaidia wenye uhitaji .

Mnayemuona juu hapo (Pichani) anaitwa Jenifer Temu picha tu jinsi alivyovaa uhusika inajieleza ni kwa jinsi gani amevaa uhusika kwenye filamu ya Mtaa kwa Mtaa, si huyo tu wapo wengi katika wale 50...

 

10 years ago

GPL

KAMA NAMSOMA NAY WA MITEGO KUHUSU BONGO MOVIES!

KUNA kelele nyingi katika mitandao ya kijamii na mitaani kuhusu maisha ya waigizaji na wasanii wa muziki wa kizazi kipya kwa jumla.Watu wanahoji umakini wao katika mahusiano ya kimapenzi wanayoanzisha na kuyaendesha, wakiamini baadhi yao wanaigiza zaidi kuliko uhalisia wao. Baadhi ya wakosoaji, hata hivyo, licha ya kukiri migogoro ya ndoa na uhusiano imegubika sehemu kubwa ya jamii inayotuzunguka, wanaamini tabaka la waigizaji...

 

11 years ago

GPL

BONGO MOVIES WAJIFUA KUWAKABILI BONGO FLEVA USIKU WA MATUMAINI IJUMAA HII

Wasanii wa Bongo Movies wakijifua katika Viwanja vya Leaders jijini Dar jana jioni tayari kwa mpambano wao na Bongo Fleva keshokutwa Ijumaa. Mwenyekiti wa Bongo Movies, Steve Nyerere (katikati) akionyesha ujuzi wakati wa mazoezi hayo jana.…

 

11 years ago

GPL

BONGO MOVIES TAYARI KUWAKABILI BONGO FLEVA KATIKA USIKU WA MATUMAINI 2014

Baadhi ya wasanii wa Bongo Movies kutoka kushoto ni Mwenyekiti wao Steve Nyerere, William Mtitu na Issa Mussa 'Cloud 112' baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam wakitokea Bagamoyo walipokwenda kujiwinda kwa ajili ya mechi yao dhidi ya Bongo Fleva leo katika Tamasha la Usiku wa Matumaini Uwanja wa Taifa jijini Dar.

 

10 years ago

GPL

ESHE AWANANGA MASTAA BONGO MOVIE

Stori: Hamida Hassan Staa wa filamu za Kibongo,  Eshe Buheti ameibuka na kuwananga mastaa wa kike waliobaki kwenye Kundi la Bongo Movie Unity kuwa hawajielewi na kazi yao ni majungu tu.Akistorisha na Risasi Jumamosi, Eshe alisema kuwa imefikia hatua baadhi ya wasanii hao hawasalimiani wanapokutana misibani kisa ni yeye kujitoa kwenye kundi, kituambacho haoni kama kina tija. Staa wa filamu za Kibongo,  Eshe Buheti. ...

 

11 years ago

GPL

NIGHT OF HOPE 2014: BONGO FLEVA 1, BONGO MOVIES 0

Mwanamuziki Ali Kiba akimtoka msanii wa Bongo Movies, Issa Mussa 'Cloud 112'. Mwanamuziki H-Baba akijaribu kuwatoka wachezaji wa Bongo Movies.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani