Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nora Awananga Wanaodai Ameshazeeka

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram, mkali wa sanaa ya uigizaji hapa Bongo, Nora amefunguka haya kwa wale wote wanaomponda eti amezeeka

Hivi nyinyi mnaoniambia mzee amuoni aibu loooo..hahahahhaaa mana mnafanya siku yangu iwe nzuri ni jinsi gani nawaumiza mpaka mnalopoka kama mmetoka usingizini.Hivi mimi mnaweza kujifananisha na nyinyi, hoooo ninamiaka mingi kweli na nimewazidi vingi sana, tabia, muonekano…haaaa mi sijagalagazwa ovyo nilijiheshimu tangu usichana wangu,...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Nora Awananga Wanaodai Ameshazeeka..Adai yeye Ajagalagazwa Ovya Kama Hao Wengine wa Bongo Movies

Nora Bongo Movies

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram, mkali wa sanaa ya uigizaji hapa Bongo, Nora amefunguka haya kwa wale wote wanaomponda eti amezeeka

Hivi nyinyi mnaoniambia mzee amuoni aibu loooo..hahahahhaaa mana mnafanya siku yangu iwe nzuri ni jinsi gani nawaumiza mpaka mnalopoka kama mmetoka usingizini.Hivi mimi mnaweza kujifananisha na nyinyi, hoooo ninamiaka mingi kweli na nimewazidi vingi sana, tabia, muonekano…haaaa mi sijagalagazwa ovyo nilijiheshimu tangu...

 

11 years ago

Habarileo

Wanaodai serikali ya Tanganyika ni dhaifu

Livingstone LusindeMJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Livingstone Lusinde amesema mtu yeyote anayedai serikali ya Tanganyika ni dhaifu na mwoga na hilo limedhihirishwa kwa wajumbe wa Ukawa kutoka nje ya Bunge na kwamba nchi hii haidaiwi na watu wanaokimbia.

 

11 years ago

Habarileo

Wanaodai kutibu Ukimwi kukiona

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imeagiza vyombo vya dola, kukamata waganga wa jadi, wanaojitangaza kutibu magonjwa ya Ukimwi, kisukari na shinikizo la damu. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid alipokuwa akiwasilisha bungeni hotuba ya bajeti ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2014/15.

 

9 years ago

Mtanzania

JK awananga Ukawa

5NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM

RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameunanga Umoja wa Katiba ya
Wananchi (Ukawa) kwa kusema mgombea wao ameshindwa kuhutubia mikutano mbalimbali ya kampeni licha
ya kutumia usafiri wa helikopta.

Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana wakati CCM ilipofunga kampeni zake katika Viwanja vya Jangwani.
Kikwete aliyepanda jukwaani saa tisa alasiri, alisema mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli, ametumia usafiri wa gari...

 

10 years ago

Bongo5

Alikiba awajibu wanaodai video ya ‘Mwana’ ni mbovu

Hatimaye Alikiba ameamua kuwajibu baadhi ya wapenzi wa muziki walioikosoa video ya wimbo wa ‘Mwana’ wanaodai kuwa haiendani na kile kinachoimbwa. Akizungumza na 255 ya XXL ndani ya Clouds FM, Alikiba amesema alichokifanya alimaanisha hivyo kuleta picha mpya kwenye vichwa vya watu. “Utofauti wa video ndio uzuri wake kwa sababu kila mtu kwenye mind yake […]

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wanaodai fedha kwa wajane waonywa

MWENYEKITI wa halmashauri ya mji wa Masasi ambaye pia ni Diwani wa kata ya Nyasa, Andrew Mtumusha ametoa onyo kwa watendaji wa kata, mtaa wenye tabia ya kudai malipo kutoka kwa vikundi vya wajasiriamali wajane pale vikundi hivyo vinapohitaji huduma ikiwemo ya kupitishiwa mihtasari yao ya benki.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Nchimbi awananga wanaobeza uteuzi wa Ma - DC

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Dk Rehema Nchimbi amewashukia wanaodai kuwa wakuu wapya wa wilaya walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni, ni matumizi mabaya ya fedha za Serikali.

 

10 years ago

Mwananchi

Makamba awananga waroho wa vyeo

Mbunge wa Bumbuli, January Makamba amesema baadhi ya wanasiasa wanaokimbilia CCM kwa ajili ya kutafuta vyeo au kujipatia umaarufu, wamekosea njia kwa kuwa chama hicho kinafanya kazi za wananchi.

 

11 years ago

GPL

SHAMSA AWANANGA MASTAA WANAOJIONA

Stori: Mayasa Mariwata
MUUZA sura wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford amesema wasanii wengi wenye majina makubwa wamekuwa wakiringia umaarufu wao na kuwadharau wengine jambo ambalo halina manufaa zaidi ya kuwashushia heshima. Msanii wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford. Akipiga stori na paparazi wetu, alisema kuna wasanii ambao ‘wametoka’ huwaonyesha dharau wenzao kwa kujivunia kujulikana kwao mbele ya jamii.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani