Makamba awananga waroho wa vyeo
Mbunge wa Bumbuli, January Makamba amesema baadhi ya wanasiasa wanaokimbilia CCM kwa ajili ya kutafuta vyeo au kujipatia umaarufu, wamekosea njia kwa kuwa chama hicho kinafanya kazi za wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Risasi zawatawanya ‘waroho’ wa mafuta
11 years ago
Habarileo16 Apr
Nape- Wanaotaka Serikali tatu waroho
CHAMA cha Mapinduzi (CCM), kimebainisha kuwa wale wote wanaotaka Tanzania iingie katika mfumo wa Serikali tatu, ni waroho wa madaraka na wanajitengenezea njia ya kuwa viongozi hapo baadaye.
9 years ago
Mtanzania24 Oct
JK awananga Ukawa
NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM
RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameunanga Umoja wa Katiba ya
Wananchi (Ukawa) kwa kusema mgombea wao ameshindwa kuhutubia mikutano mbalimbali ya kampeni licha
ya kutumia usafiri wa helikopta.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana wakati CCM ilipofunga kampeni zake katika Viwanja vya Jangwani.
Kikwete aliyepanda jukwaani saa tisa alasiri, alisema mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli, ametumia usafiri wa gari...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Kamani awananga wanaobeza kilimo
10 years ago
Bongo Movies30 Jul
Nora Awananga Wanaodai Ameshazeeka
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram, mkali wa sanaa ya uigizaji hapa Bongo, Nora amefunguka haya kwa wale wote wanaomponda eti amezeeka
Hivi nyinyi mnaoniambia mzee amuoni aibu loooo..hahahahhaaa mana mnafanya siku yangu iwe nzuri ni jinsi gani nawaumiza mpaka mnalopoka kama mmetoka usingizini.Hivi mimi mnaweza kujifananisha na nyinyi, hoooo ninamiaka mingi kweli na nimewazidi vingi sana, tabia, muonekano…haaaa mi sijagalagazwa ovyo nilijiheshimu tangu usichana wangu,...
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Dk Nchimbi awananga wanaobeza uteuzi wa Ma - DC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK*K8JdJsu8eY-V*LUKG2-gAvap3OfKhOJiAziIS1sHB-mdsfv3ZGKElcOAaDWNtbz937NHecfestiLmTo3QG3x8/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA AWANANGA MASTAA WANAOJIONA
10 years ago
Mtanzania06 Mar
Nape awananga Red Brigade wa Chadema
NA ELIYA MBONEA, MPWAPWA
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye amerusha kombora kwa Chama cha Demokrasia na Maendekeo (CHADEMA) akidai makundi ya vijana wa ulinzi vya chama hicho (Red Brigade) yameandaliwa kwa ajili ya kuingia msituni kwa shughuli za ugaidi.
Kauli hiyo aliitoa juzi wilayani Mpwapwa kwenye ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, inayoendelea mkoani Dodoma.
“CHADEMA wanaandaa vijana kupitia Red Brigade ili kuingia msituni na kuchukua madaraka ya nchi kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vM7iDEJ0TmnooAEZf8YA04kwi6uQy*-hB9xkCTeH1-K3YLi8TcSSqevrLEyg1OpsKG-M5zeau0*c2AHbtjZezNK1lNCOQrH4/ESHE.jpg)
ESHE AWANANGA MASTAA BONGO MOVIE