Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Nchimbi awananga wanaobeza uteuzi wa Ma - DC

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Dk Rehema Nchimbi amewashukia wanaodai kuwa wakuu wapya wa wilaya walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni, ni matumizi mabaya ya fedha za Serikali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kamani awananga wanaobeza kilimo

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani amesema sekta ya kilimo na ufugaji iko kwenye wakati mgumu kutokana na wasomi wengi wa sekta hizo kuacha kujishughulisha nazo.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Nchimbi awananga makada waliohama CCM

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi amewafananisha viongozi waliokihama chama hicho na kujiunga na upinzani kuwa ni sawa na wachezaji mpira wa miguu waliochoka ambao hawawezi kuleta ushindi.

 

11 years ago

Habarileo

Ikulu yawajia juu wanaobeza uteuzi

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue.MJADALA kuhusu uteuzi wa Baraza la Mawaziri jipya lililotangazwa karibuni hauna maana na ni kupoteza muda, imeelezwa.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda- Watajeni wanaobeza wabunge

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amemtaka Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kusini Deosderius Mipata (CCM) kuwataja viongozi wa Serikali wanaobeza wabunge katika suala zima la utekelezaji wa maendeleo katika maeneo yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Bomani awashukia wanaobeza kazi ya Tume ya

Mwanasheria Mkuu mstaafu, Jaji Mark Boman amekitaka Chama cha Mapinduzi (CCM) kuachana na msimamo wake wa muundo wa Serikali mbili na kwamba, wawaachie wananchi waamue.

 

10 years ago

Habarileo

Wanaobeza mafanikio ya CCM wapimwe akili

MKUU wa Wilaya ya Rombo, Lebris Kipuyo amesema mtu ambaye anasema CCM haijafanya chochote ana matatizo ya akili na anatakiwa kufikishwa katika Hospitali ya Wagonjwa wa Akili ya Mirembe kupima akili yake.

 

9 years ago

Mtanzania

JK awananga Ukawa

5NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM

RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameunanga Umoja wa Katiba ya
Wananchi (Ukawa) kwa kusema mgombea wao ameshindwa kuhutubia mikutano mbalimbali ya kampeni licha
ya kutumia usafiri wa helikopta.

Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana wakati CCM ilipofunga kampeni zake katika Viwanja vya Jangwani.
Kikwete aliyepanda jukwaani saa tisa alasiri, alisema mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli, ametumia usafiri wa gari...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Awashangaa Wanaobeza Ushindi wa Uwoya Huko Tabora

Nimekaa Hapa Ofisini Kwangu Nikitafakari Mengi Sana kuhusu Baadhi Ya Watanzaia Kuwakatisha Tamaa Wasanii Wao Sasa Cjui Ni Roho Mbaya Ama Nini Maaana Leo Irene Uwoya Kashinda Kwenye Viti Maalum Tabora Lkn Coments Zimekuwa Nyingi Sana Kuwa Heti Baba Wa Taifa Nyanyuka Maana Chama Chako Kinaangamia. Hapana Hakuna Sehemu Yotote Inayopinga Mtu Kugombania Ubunge Maaana Ni Haki Ya Kila Mtanzania Mwenye Kukidhi VigezoYa Katiba Ya Nchi Ye2 .

Tuache Roho Mbaya Na Kuwadharau Wasanii Nakuwaona Kama Wa2...

 

11 years ago

GPL

SHAMSA AWANANGA MASTAA WANAOJIONA

Stori: Mayasa Mariwata
MUUZA sura wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford amesema wasanii wengi wenye majina makubwa wamekuwa wakiringia umaarufu wao na kuwadharau wengine jambo ambalo halina manufaa zaidi ya kuwashushia heshima. Msanii wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford. Akipiga stori na paparazi wetu, alisema kuna wasanii ambao ‘wametoka’ huwaonyesha dharau wenzao kwa kujivunia kujulikana kwao mbele ya jamii.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani