Dk Nchimbi awananga wanaobeza uteuzi wa Ma - DC
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Dk Rehema Nchimbi amewashukia wanaodai kuwa wakuu wapya wa wilaya walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni, ni matumizi mabaya ya fedha za Serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Kamani awananga wanaobeza kilimo
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Dk Nchimbi awananga makada waliohama CCM
11 years ago
Habarileo29 Jan
Ikulu yawajia juu wanaobeza uteuzi
MJADALA kuhusu uteuzi wa Baraza la Mawaziri jipya lililotangazwa karibuni hauna maana na ni kupoteza muda, imeelezwa.
11 years ago
Habarileo16 May
Pinda- Watajeni wanaobeza wabunge
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amemtaka Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kusini Deosderius Mipata (CCM) kuwataja viongozi wa Serikali wanaobeza wabunge katika suala zima la utekelezaji wa maendeleo katika maeneo yao.
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Bomani awashukia wanaobeza kazi ya Tume ya
10 years ago
Habarileo01 Apr
Wanaobeza mafanikio ya CCM wapimwe akili
MKUU wa Wilaya ya Rombo, Lebris Kipuyo amesema mtu ambaye anasema CCM haijafanya chochote ana matatizo ya akili na anatakiwa kufikishwa katika Hospitali ya Wagonjwa wa Akili ya Mirembe kupima akili yake.
9 years ago
Mtanzania24 Oct
JK awananga Ukawa
NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM
RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameunanga Umoja wa Katiba ya
Wananchi (Ukawa) kwa kusema mgombea wao ameshindwa kuhutubia mikutano mbalimbali ya kampeni licha
ya kutumia usafiri wa helikopta.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana wakati CCM ilipofunga kampeni zake katika Viwanja vya Jangwani.
Kikwete aliyepanda jukwaani saa tisa alasiri, alisema mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli, ametumia usafiri wa gari...
10 years ago
Bongo Movies03 Aug
Ray Awashangaa Wanaobeza Ushindi wa Uwoya Huko Tabora
Nimekaa Hapa Ofisini Kwangu Nikitafakari Mengi Sana kuhusu Baadhi Ya Watanzaia Kuwakatisha Tamaa Wasanii Wao Sasa Cjui Ni Roho Mbaya Ama Nini Maaana Leo Irene Uwoya Kashinda Kwenye Viti Maalum Tabora Lkn Coments Zimekuwa Nyingi Sana Kuwa Heti Baba Wa Taifa Nyanyuka Maana Chama Chako Kinaangamia. Hapana Hakuna Sehemu Yotote Inayopinga Mtu Kugombania Ubunge Maaana Ni Haki Ya Kila Mtanzania Mwenye Kukidhi VigezoYa Katiba Ya Nchi Ye2 .
Tuache Roho Mbaya Na Kuwadharau Wasanii Nakuwaona Kama Wa2...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK*K8JdJsu8eY-V*LUKG2-gAvap3OfKhOJiAziIS1sHB-mdsfv3ZGKElcOAaDWNtbz937NHecfestiLmTo3QG3x8/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA AWANANGA MASTAA WANAOJIONA