Wanaobeza mafanikio ya CCM wapimwe akili
MKUU wa Wilaya ya Rombo, Lebris Kipuyo amesema mtu ambaye anasema CCM haijafanya chochote ana matatizo ya akili na anatakiwa kufikishwa katika Hospitali ya Wagonjwa wa Akili ya Mirembe kupima akili yake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Apr
‘Wanaotukana waasisi wapimwe akili’
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Anna Abdallah amesema mtu yeyote anayewatukana waasisi wa Taifa, anapaswa kupimwa akili.
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Wanaong’ang’ania mabondeni wapimwe akili
HAWA wanaong’ang’ania kuishi mabondeni wachunguzwe kwa sababu huenda wakawa wana matatizo ya kiakili. Inabidi iwe hivyo kwa sababu haiwezekani matatizo yanayowakumba wakati wa mvua mara kwa mara, hurudi tena mvua...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykVHlWFg3*zPG7Cjm5r9VksUctcCtAeU5RaboEjPUrdq8Rl0hSnGvtGPMPy-QEfvGGZ4cGXOOY0DeetNVWLhDp6L/Mwalimukambarage.jpg?width=650)
WAGOMBEA CCM WARUHUSIWE KUPITAPITA ILI WAPIMWE
9 years ago
Bongo Movies08 Sep
Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray
"(FREEDOM OF SPEECH)
Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)
Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Tunapoua akili asilia na kukimbilia akili bandia
10 years ago
Vijimambo![](https://lh4.googleusercontent.com/-k5JrO3P8HWs/VPundSIrxbI/AAAAAAAABPI/p9ExBlnjTSc/s72-c/blogger-image--1252477759.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Oct
CCM Mbeya wafagilia mafanikio ya Bunge Maalumu
CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) Mbeya mjini kimepongeza bunge maalumu kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuchakata maoni ya wananchi na hatimaye kupatikana Katiba inayopendekezwa.
10 years ago
Habarileo28 Dec
Nyalandu leo kueleza mafanikio ya CCM jimboni
MBUNGE wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, leo atafanya mkutano mkubwa kwa ajili ya kueleza mafanikio ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) .
11 years ago
Habarileo16 May
Pinda- Watajeni wanaobeza wabunge
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amemtaka Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kusini Deosderius Mipata (CCM) kuwataja viongozi wa Serikali wanaobeza wabunge katika suala zima la utekelezaji wa maendeleo katika maeneo yao.