WAGOMBEA CCM WARUHUSIWE KUPITAPITA ILI WAPIMWE
![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykVHlWFg3*zPG7Cjm5r9VksUctcCtAeU5RaboEjPUrdq8Rl0hSnGvtGPMPy-QEfvGGZ4cGXOOY0DeetNVWLhDp6L/Mwalimukambarage.jpg?width=650)
Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Leo tunakutana tena nikiamini kwamba wasomaji wote wa safu hii hamjambo, Mungu azidi kutuongoza katika njia ya kweli. Ni marufuku kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kujitangaza kugombea nafasi yoyote ya uongozi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Huo ndiyo mwongozi wa chama tawala ambao nitauchambua hapa. Ukweli ni kwamba idadi ya wanaotaka kugombea nafasi ya urais inaongezeka siku hadi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Feb
TCIB: Wagombea uchaguzi wapimwe afya
10 years ago
Habarileo01 Apr
Wanaobeza mafanikio ya CCM wapimwe akili
MKUU wa Wilaya ya Rombo, Lebris Kipuyo amesema mtu ambaye anasema CCM haijafanya chochote ana matatizo ya akili na anatakiwa kufikishwa katika Hospitali ya Wagonjwa wa Akili ya Mirembe kupima akili yake.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbgGV7xx1vokK5-1qYPAaFqg0qveKbkLdiCBJkrfjf7yZ-cu0*WZ7hT*t4-gcGlm4cnHz0vSlD*0FUuz1gRCUA2v/FRONTJUMAMOSIghdvddhy.gif?width=650)
WAUMINI: MAPADRI WARUHUSIWE KUOA
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Je watoto waruhusiwe kifo cha huruma?
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Guteres aomba wakimbizi waruhusiwe Ulaya
11 years ago
BBCSwahili19 May
Wanawake wataka mapadre waruhusiwe kuoa
10 years ago
Vijimambo03 Jul
Wagombea kundi la kifo CCM
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2773598/medRes/1051524/-/maxh/240/maxw/460/-/48hcps/-/pich+wagombea.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 May
CCM inavyojikwaa kupata wagombea
10 years ago
Mtanzania02 Feb
JK:Ole wao wagombea CCM
SHABANI MATUTU, SONGEA na Oliver Oswald (Dar)
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, amewaonya watu wanaotaka kuwania urais kupitia chama hicho.
Amesema endapo watavunja sheria na kanuni wasikilaumu chama hicho bali wajilaumu wenyewe.
Rais Kikwete alisema hayo jana mjini Songea katika kilele cha maadhimisho ya miaka 38 ya CCM yaliyohudhuriwa na mamia ya wananchi wa Mkoa wa Ruvuma.
Alisema anaamini CCM ni chama kinachofuata taratibu za kuwapata viongozi wake bora kwa...