Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAUMINI: MAPADRI WARUHUSIWE KUOA

Mwandishi wetu
Mpasuko! Kufuatia kuibuka wimbi la kashfa za ngono zinazowagusa waseja wa daraja la upadri duniani, baadhi ya waumini wa madhehebu mbalimbali yakiwemo Katoliki na Anglikana, wameibuka na kudai kuwepo kwa marekebisho ya sheria ya makanisa hayo yanayoruhusu watumishi hao kuoa kwani kwa sasa wanayaaibisha, jambo ambalo linaharibu imani juu ya Ukristo. Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo. NINI KIMETOKEA?
Hayo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mapadri walioamua kuoa

Suala ya iwapo mapadri wanafaa kuruhusiwa kuoa limekuwa moja ya masuala nyeti katika Kanisa Katoliki, na kuna baadhi ya mapadri waliojitenga na kanisa hilo na kuamua kuoa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanawake wataka mapadre waruhusiwe kuoa

Kundi moja la wanawake walio na hisia za kimapenzi na mapadre wa kikatoliki wanamtaka Papa Francis abadilishe sheria kuwaruhusu viongozi hao wa dini kuoa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je watoto waruhusiwe kifo cha huruma?

Bunge la Ubelgiji linatarajiwa kupigia kura mswada utakaowezesha watoto walio na ugonjwa usiotibika wakubaliwe kufa kifo cha huruma au 'Euthanasia'. Nini maoni yako?

 

9 years ago

BBCSwahili

Guteres aomba wakimbizi waruhusiwe Ulaya

Kamishna wa Umoja wa Mataifa ameyaomba mataifa ya Ulaya kuwakubali wakimbizi wanaokimbia mapigano nchini Syria, Iraq na Afghanistan.

 

11 years ago

Habarileo

Mashehe, mapadri waionya NEC

WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza mpango wa kuboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura ili kuruhusu Watanzania wenye sifa kujiandikisha upya, viongozi wa dini nchini wameitaka tume hiyo kubadilisha pia siku ya kupiga kura, kutoka siku ya Jumapili ambayo huwa ya ibada hadi siku ya katikati ya wiki.

 

10 years ago

GPL

WAGOMBEA CCM WARUHUSIWE KUPITAPITA ILI WAPIMWE

Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Leo tunakutana tena nikiamini kwamba wasomaji wote wa safu hii hamjambo, Mungu azidi kutuongoza katika njia ya kweli. Ni marufuku kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kujitangaza kugombea nafasi yoyote ya uongozi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Huo ndiyo mwongozi wa chama tawala ambao nitauchambua hapa. Ukweli ni kwamba idadi ya wanaotaka kugombea nafasi ya urais inaongezeka siku hadi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Papa ashutumu mapadri walawiti Kanisani

Papa Francis, amewasili Roma baada ya kukamilisha ziara yake ya siku tatu Mashariki ya Kati.

 

10 years ago

Habarileo

'Mapadri tumieni busara hofu ya ebola'

BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limewataka maparoko kuangalia ni namna gani nzuri waumini wao wanaweza kutakiana amani, kutokana na hofu ya homa kali ya ebola, iliyojengeka miongoni mwa waumini wa kanisa hilo, hasa wa Kanda ya Ziwa.

 

11 years ago

GPL

‘MAPADRI KANISA KATOLIKI WAOE’

Stori: Haruni sanchawa
LILE vuguvugu la kutaka mapadri wa Kanisa Katoliki duniani waoe limezidi kukua kufuatia baadhi ya waumini wa kanisa hilo nao kupendekeza watumishi hao waoe kama wanaume wengine.Waumini hao walisema mara nyingi wamekuwa wakisikia baadhi ya mapadri wamezaa au wana mademu, kwa hiyo hawaoni sababu ya kuendelea kuwazuia kuoa. Papa francisco “Kama padri ana demu au amemjaza mwanamke mimba hadi amezaa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani