Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Papa ashutumu mapadri walawiti Kanisani

Papa Francis, amewasili Roma baada ya kukamilisha ziara yake ya siku tatu Mashariki ya Kati.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Papa Francis aruhusu wanamaombi kanisani

Makao Makuu ya Kanisa Katoliki (Vatican), yametangaza kuwatambua rasmi makasisi wake wanaoombea na kutoa pepo wanaowashikilia waumini wao kama yanavyofanya makanisa ya Kipentekoste.

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa kujadili ndoa na talaka kanisani

Papa Francis amefungua rasmi mkutano wa viongozi wakuu wa kanisa hilo kujadili maswala kama vile uzazi wa mpango, talaka na ndoa za jinsia moja.

 

11 years ago

GPL

KIJIJI CHAENDESHA MSAKO KUWANASA WALAWITI

Stori: Joseph Ngilisho, Arusha
WANANCHI zaidi ya 500 wa Kijiji cha Moivaro na Chekereni katika Kata ya Moshono, wilayani Arumeru wamelazimika kuendesha oparesheni ya kuwasaka wanaume wanaolawiti wanaume wenzao baada ya kugundulika sehemu kubwa ya wanaume katika kijiji hicho wamelawitiwa. Wananchi wa Kijiji cha Moivaro na Chekereni katika Kata ya Moshono, wilayani Arumeruwakiwa kwenye kikao cha kuwasaka walawiti Inadaiwa kuwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mapadri walioamua kuoa

Suala ya iwapo mapadri wanafaa kuruhusiwa kuoa limekuwa moja ya masuala nyeti katika Kanisa Katoliki, na kuna baadhi ya mapadri waliojitenga na kanisa hilo na kuamua kuoa.

 

9 years ago

Dewji Blog

#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!

IMG-20151125-WA0024

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.

Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...

 

11 years ago

Habarileo

Mashehe, mapadri waionya NEC

WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza mpango wa kuboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura ili kuruhusu Watanzania wenye sifa kujiandikisha upya, viongozi wa dini nchini wameitaka tume hiyo kubadilisha pia siku ya kupiga kura, kutoka siku ya Jumapili ambayo huwa ya ibada hadi siku ya katikati ya wiki.

 

10 years ago

GPL

WAUMINI: MAPADRI WARUHUSIWE KUOA

Mwandishi wetu
Mpasuko! Kufuatia kuibuka wimbi la kashfa za ngono zinazowagusa waseja wa daraja la upadri duniani, baadhi ya waumini wa madhehebu mbalimbali yakiwemo Katoliki na Anglikana, wameibuka na kudai kuwepo kwa marekebisho ya sheria ya makanisa hayo yanayoruhusu watumishi hao kuoa kwani kwa sasa wanayaaibisha, jambo ambalo linaharibu imani juu ya Ukristo. Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo. NINI KIMETOKEA?
Hayo...

 

10 years ago

Habarileo

'Mapadri tumieni busara hofu ya ebola'

BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limewataka maparoko kuangalia ni namna gani nzuri waumini wao wanaweza kutakiana amani, kutokana na hofu ya homa kali ya ebola, iliyojengeka miongoni mwa waumini wa kanisa hilo, hasa wa Kanda ya Ziwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Machar ashutumu jeshi la serikali

Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini amewashutumu wanajeshi wa serikali kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani