Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapadri walioamua kuoa

Suala ya iwapo mapadri wanafaa kuruhusiwa kuoa limekuwa moja ya masuala nyeti katika Kanisa Katoliki, na kuna baadhi ya mapadri waliojitenga na kanisa hilo na kuamua kuoa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAUMINI: MAPADRI WARUHUSIWE KUOA

Mwandishi wetu
Mpasuko! Kufuatia kuibuka wimbi la kashfa za ngono zinazowagusa waseja wa daraja la upadri duniani, baadhi ya waumini wa madhehebu mbalimbali yakiwemo Katoliki na Anglikana, wameibuka na kudai kuwepo kwa marekebisho ya sheria ya makanisa hayo yanayoruhusu watumishi hao kuoa kwani kwa sasa wanayaaibisha, jambo ambalo linaharibu imani juu ya Ukristo. Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo. NINI KIMETOKEA?
Hayo...

 

11 years ago

Habarileo

Mashehe, mapadri waionya NEC

WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza mpango wa kuboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura ili kuruhusu Watanzania wenye sifa kujiandikisha upya, viongozi wa dini nchini wameitaka tume hiyo kubadilisha pia siku ya kupiga kura, kutoka siku ya Jumapili ambayo huwa ya ibada hadi siku ya katikati ya wiki.

 

11 years ago

Mwananchi

Kutana na vijana walioamua kujiajiri

>Watu wengi wanapenda kuwa na maisha bora, wengi wanaishia kuwa na hali duni. Baadhi ya watu wamekuwa wakijiuliza ‘kwa nini ninakuwa na maisha duni’, ingawa jibu lake ni kwamba adui wa kwanza wa maisha yako ni wewe mwenyewe…Kukata tamaa kwako.

 

11 years ago

BBCSwahili

Papa ashutumu mapadri walawiti Kanisani

Papa Francis, amewasili Roma baada ya kukamilisha ziara yake ya siku tatu Mashariki ya Kati.

 

10 years ago

Habarileo

'Mapadri tumieni busara hofu ya ebola'

BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limewataka maparoko kuangalia ni namna gani nzuri waumini wao wanaweza kutakiana amani, kutokana na hofu ya homa kali ya ebola, iliyojengeka miongoni mwa waumini wa kanisa hilo, hasa wa Kanda ya Ziwa.

 

11 years ago

GPL

‘MAPADRI KANISA KATOLIKI WAOE’

Stori: Haruni sanchawa
LILE vuguvugu la kutaka mapadri wa Kanisa Katoliki duniani waoe limezidi kukua kufuatia baadhi ya waumini wa kanisa hilo nao kupendekeza watumishi hao waoe kama wanaume wengine.Waumini hao walisema mara nyingi wamekuwa wakisikia baadhi ya mapadri wamezaa au wana mademu, kwa hiyo hawaoni sababu ya kuendelea kuwazuia kuoa. Papa francisco “Kama padri ana demu au amemjaza mwanamke mimba hadi amezaa,...

 

10 years ago

Mwananchi

Fibroid huwakumba wanawake walioamua kutozaa ama kuchelewa

Miaka ya hivi karibuni hospitali nyingi zimefurika wanawake waliobainika kuwa na uvimbe kwenye kizazi ikilinganishwa na kipindi cha nyuma.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vijana Tanzania walioamua kubadili mtizamo wa kazi ya uchuuzi wa mitaani

Ni Jambo la kawaida, unapokuwa unatembea mitaani katika nchi za Afrika kukutana na wachuuzi wa mtaani al maarufu wamachinga, kutokana na ukosefu wa ajira. Lakini Alexanda Manyika na Noah Jotum ni wamachinga wanaobadili mtizamo wa kawaida kuhusu wachuuzi hao

 

10 years ago

Dewji Blog

Wazazi waaswa kuwapokea vijana waoo walioamua kuacha matumizi ya dawa za kulevya

363

Balozi Seif akizungumza na baadhi ya Wananchi mara ya kukabidhiwa Vijana Sita walioamua kuachana na matumizi ya Dawa za kulevya waliokuwa wakipata mafunzo kwenye Kituo cha Mombasa nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Kushoto ya Balozi Seif ni Sheha wa Shehia ya Fujoni Bwana Said Mgeni Bakari na wa kwanza kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kaskazini “ B “ Nd. Hilika Khamis na Mke wa Mbunge wa Jimbo la Kitope Mama Asha Suleiman Iddi.

 Na Mwandishi  Wetu.

Wazazi wameaswa kuwa tayari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani