Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fibroid huwakumba wanawake walioamua kutozaa ama kuchelewa

Miaka ya hivi karibuni hospitali nyingi zimefurika wanawake waliobainika kuwa na uvimbe kwenye kizazi ikilinganishwa na kipindi cha nyuma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AMCHARANGA MKEWE, KISA KUTOZAA

Na Shomari Binda, Tarime/Uwazi
MTU mmoja mwanamume, aliyetajwa kwa jina la John Weghai amemjeruhi vibaya mke wake, Anastazia John (18) kwa kumkatakata na mapanga kwa kile kinachodaiwa kuchelewa kwake kupata ujauzito, katika maisha ya wawili hao waliyoanza Februari mwaka jana. Mwanamke, Anastazia John (18) anayedaiwa kucharangwa mapanga na mume wake, John Weghai. Tukio hilo la kinyama lilitokea katika Kijiji cha Mariba,...

 

10 years ago

Vijimambo

AMCHARANGA MKEWE, KISA KUTOZAA HARAKA

Mwanamke, Anastazia John (18) anayedaiwa kucharangwa mapanga na mume wake, John Weghai.Na Shomari Binda, Tarime/UwaziMTU mmoja mwanamume, aliyetajwa kwa jina la John Weghai amemjeruhi vibaya mke wake, Anastazia John (18) kwa kumkatakata na mapanga kwa kile kinachodaiwa kuchelewa kwake kupata ujauzito, katika maisha ya wawili hao waliyoanza Februari mwaka jana.Tukio hilo la kinyama lilitokea katika Kijiji cha Mariba, Kata ya Mriba, wilayani Tarime mkoani Mara na majeruhi huyo amelazwa katika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mapadri walioamua kuoa

Suala ya iwapo mapadri wanafaa kuruhusiwa kuoa limekuwa moja ya masuala nyeti katika Kanisa Katoliki, na kuna baadhi ya mapadri waliojitenga na kanisa hilo na kuamua kuoa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kutana na vijana walioamua kujiajiri

>Watu wengi wanapenda kuwa na maisha bora, wengi wanaishia kuwa na hali duni. Baadhi ya watu wamekuwa wakijiuliza ‘kwa nini ninakuwa na maisha duni’, ingawa jibu lake ni kwamba adui wa kwanza wa maisha yako ni wewe mwenyewe…Kukata tamaa kwako.

 

10 years ago

GPL

UVIMBE WA KIZAZI (UTERINE FIBROID)

Fibroid ni uvimbe unaoota ndani ya kizazi cha mwanamke, uvimbe huu upo kama nyama laini, chanzo halisi cha aina hii ya uvimbe bado hakijulikani lakini ni tatizo linalosumbua zaidi wanawake walio katika umri wa kuzaa.
Umri wa kuzaa ni ule kuanzia pale mwanamke anapovunja ungo hadi anapofikia ukomo wa kuzaa. Umri wa kuvunja ungo ni kati ya miaka kumi na mbili hadi kumi na tano, hapa tunategemea mwanamke anaweza kuvunja ungo...

 

11 years ago

GPL

UVIMBE KWENYE MJI WA MIMBA(FIBROID)

uvimbe ambao hujitokeza katika misuri ya mji wa mimba hutokea sana kwa watu weupe (wazungu kwa asilimia 25 na watu weusi ni zaidi ya asilimia 50). Chanzo cha uvimbe kwenye mji wa mimba hakijulikani vizuri isipokuwa kuna vitu vinavyofikiriwa kuwa vinachangia kuleta uvimbe huo. Vichocheo kama vya  estrogens husadikika kusababisha uvimbe kwenye kizazi. Uvimbe huambatana na vichocheo vya estogen ambapo ni chembechembe zinazopokea...

 

10 years ago

GPL

UVIMBE KWENYE MJI WA MIMBA (FIBROID)-4

MATIBABU YA UVIMBE KWENYE KIZAZI
Wiki iliyopita tulieleza matatizo ya uvimbe kwenye kizazi. Leo tunafafanua matibabu ya uvimbe kwenye kizazi kwamba hutegemea na vitu mbalimbali kama umri au kama mama ameishawahi kupata ujauzito au kama ni mjamzito. Mgonjwa akiwa na uvimbe wa kizazi daktari anaweza kuangalia dalili alizonazo, ukubwa wa uvimbe  na sehemu ya uvimbe ulikojitokeza.
Kama mgonjwa yupo katika hali mbaya au...

 

11 years ago

GPL

UVIMBE KWENYE MJI WA MIMBA (FIBROID)-3

Uvimbe huweza pia kukandamiza viungo jirani na uzazi (pressure effets) ambapo mirija ya mkojo na kibofu cha mkojo na utumbo mkubwa wa haja kubwa na uvimbe unaweza kusababisha usipate choo(consipation) wakati mwingine huweza kusababisha mkojo usitoke (urinal retention), dalili zingine ni kama kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa (dyspararemia), uchafu sehemu za siri na kushindwa kubeba mimba (infertity) asilimia kati ya 27- 40...

 

11 years ago

GPL

UVIMBE KWENYA MJI WA MIMBA (FIBROID)-2

Naendelea kuelezea dalili  za uvimbe kwenye mji wa mimba ili uweze kuzijua na kuchukua hatua mapema. Dalili hutegemea  na sehemu uvimbe  ulikojishikiza, ukubwa wa uvimbe na kama mama ana ujauzito, uvimbe  huambatana na kutokuwa  na mpangilio wa hedhi  hii hutokea kwa akina mama asilimia 30 ambapo mama huingia kwenye  siku zake mara mbili kwa mwezi au kutoingia kabisa akifuatiwa na kumwaga damu nyingi wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani