Mashehe, mapadri waionya NEC
WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza mpango wa kuboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura ili kuruhusu Watanzania wenye sifa kujiandikisha upya, viongozi wa dini nchini wameitaka tume hiyo kubadilisha pia siku ya kupiga kura, kutoka siku ya Jumapili ambayo huwa ya ibada hadi siku ya katikati ya wiki.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Mapadri walioamua kuoa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbgGV7xx1vokK5-1qYPAaFqg0qveKbkLdiCBJkrfjf7yZ-cu0*WZ7hT*t4-gcGlm4cnHz0vSlD*0FUuz1gRCUA2v/FRONTJUMAMOSIghdvddhy.gif?width=650)
WAUMINI: MAPADRI WARUHUSIWE KUOA
10 years ago
Habarileo28 Oct
'Mapadri tumieni busara hofu ya ebola'
BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limewataka maparoko kuangalia ni namna gani nzuri waumini wao wanaweza kutakiana amani, kutokana na hofu ya homa kali ya ebola, iliyojengeka miongoni mwa waumini wa kanisa hilo, hasa wa Kanda ya Ziwa.
11 years ago
BBCSwahili27 May
Papa ashutumu mapadri walawiti Kanisani
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Wafanyibiashara wa UG waionya Kenya
10 years ago
Vijimambo28 Nov
Wafanyabiashara wa UG waionya Kenya
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/28/141128122052_uganda_traders_512x288_nmg.jpg)
Wafanyibiashara wa Uganda chini ya muungano wa Wanabiashara wa mji wa Kampala Uganda KACITA wamelipa Shirika la ukusanyaji Ushuru nchini kenya KRA wiki mbili kuitoa mizingo yote inayoelekea Uganda la sivyo waigomee bandari ya Mombasa.
Ilani hiyo iliafikiwa siku ya Alhamisi baada ya saa kadhaa za majadiliano kuhusu athari za hatua ya KRA ya kutoza kodi bidhaa zote zinazoingia katika badari hiyo.
Awali ,wafanyibiashara walikuwa wakilipa ada wanayotozwa wakati wanapochukua mizigo yao pamoja na...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Wafanyabiashara waionya TRA
JUMUIYA ya Wafanyabiashara nchini (JWT), imesema kuanzia leo endapo kutatokea mgongano baina ya wafanyabiashara na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhusu suala la mashine za EFDs wasije wakalaumiwa. Kauli hiyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0oiRF4v-c03Zm5acxizplgdFaVgEwLXZzQ51JXOdOtFTwuraqyq6-*vpq3ss8Tl3BXD4bERt*11IViDY5oqUl3N/kweliiikabisa.jpg)
‘MAPADRI KANISA KATOLIKI WAOE’
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Manusura wa Auschwitz waionya dunia