Wafanyabiashara wa UG waionya Kenya
Wafanyibiashara wa Uganda chini ya muungano wa Wanabiashara wa mji wa Kampala Uganda KACITA wamelipa Shirika la ukusanyaji Ushuru nchini kenya KRA wiki mbili kuitoa mizingo yote inayoelekea Uganda la sivyo waigomee bandari ya Mombasa.
Ilani hiyo iliafikiwa siku ya Alhamisi baada ya saa kadhaa za majadiliano kuhusu athari za hatua ya KRA ya kutoza kodi bidhaa zote zinazoingia katika badari hiyo.
Awali ,wafanyibiashara walikuwa wakilipa ada wanayotozwa wakati wanapochukua mizigo yao pamoja na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Wafanyabiashara waionya TRA
JUMUIYA ya Wafanyabiashara nchini (JWT), imesema kuanzia leo endapo kutatokea mgongano baina ya wafanyabiashara na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhusu suala la mashine za EFDs wasije wakalaumiwa. Kauli hiyo...
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Wafanyibiashara wa UG waionya Kenya
10 years ago
Mwananchi20 Mar
Wafanyabiashara wateswa na mgogoro wa Kenya, Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oh2xyTqDoOU/VB3moxSEn1I/AAAAAAAGkx8/Xbnpx71g1Vw/s72-c/Machapisho.jpg)
Wafanyabiashara Namanga walalamikia kunyanyaswa nchini Kenya
Wafanyabiashara hao walitoa ombi lao jana Septemba 19 wakati wa mkutano na Maofisa wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wanaotembelea mipaka mbalimbali kwa ajili ya kutoa elimu ya Mtangamano wa Afrika Mashariki.
Baadhi ya manyanyaso wanayopata wanadai ni kuombwa kitu kidogo, kupewa malipo kidogo...
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Virusi vya corona: Wafanyabiashara wadogo Kenya walivyoathirika
11 years ago
GPL18 Dec
MAKAHABA WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA KUKOMESHA UNYANYASAJI DHIDI YA WAFANYABIASHARA YA NGONO KENYA
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Viongozi wa dini waionya Serikali
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Manusura wa Auschwitz waionya dunia
11 years ago
Habarileo21 Jun
Mashehe, mapadri waionya NEC
WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza mpango wa kuboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura ili kuruhusu Watanzania wenye sifa kujiandikisha upya, viongozi wa dini nchini wameitaka tume hiyo kubadilisha pia siku ya kupiga kura, kutoka siku ya Jumapili ambayo huwa ya ibada hadi siku ya katikati ya wiki.