Wafanyabiashara Namanga walalamikia kunyanyaswa nchini Kenya
![](http://3.bp.blogspot.com/-oh2xyTqDoOU/VB3moxSEn1I/AAAAAAAGkx8/Xbnpx71g1Vw/s72-c/Machapisho.jpg)
Wafanyabiashara wa Namanga na Wilaya ya Longido wameiomba Serikali iwajengee Soko kubwa Namanga ili waepukane na usumbufu wanaoupata wanapokwenda Kenya kuuza mifugo, mazao na bidhaa nyingine.
Wafanyabiashara hao walitoa ombi lao jana Septemba 19 wakati wa mkutano na Maofisa wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wanaotembelea mipaka mbalimbali kwa ajili ya kutoa elimu ya Mtangamano wa Afrika Mashariki.
Baadhi ya manyanyaso wanayopata wanadai ni kuombwa kitu kidogo, kupewa malipo kidogo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog05 Jun
Wafugaji kanda ya ziwa walalamikia kunyanyaswa na askari wa wanyamapori
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akilakiwa na Katibu wa CCM mkoa wa Kagera Bw. Ali Ame wakati alipowasili katika kata ya Nyakanazi wilayani Biharamulo mkoani Kagera wakati akianza rasmi ziara yake ya kikazi ya kukagua na kuhimiza utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 inayotekelezwa na serikali.
Ziara hiyo itafanyika katika mikoa mitatu ya kanda ya ziwa ambayo ni Kagera yenewe, mkoa wa Geita na kisha atamalizia na mkoa wa Mwanza kwa kufanya mkutano mkubwa wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FlhYZOplVxg/VXHuXBrx3AI/AAAAAAAC5tk/5QHA0IQiiVQ/s72-c/_MG_6177.jpg)
WAFUGAJI KANDA YA ZIWA WALALAMIKIA KUNYANYASWA KWAO NA ASKARI WANYAMAPORI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-FlhYZOplVxg/VXHuXBrx3AI/AAAAAAAC5tk/5QHA0IQiiVQ/s640/_MG_6177.jpg)
Mwenyekiti huyo alisema kuwa wafugaji wamekuwa wakifunga safari kwenda mkoani Dodoma kwa ajili ya kuonana na mawaziri wahusika akiwemo, Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu, Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lZzNfXfVhV4/XsTn5u17QQI/AAAAAAALq5w/950m47biu_gZX3PL4eb-b-6ODbyOy2p9wCLcBGAsYHQ/s72-c/mboo.jpg)
9 years ago
Habarileo05 Jan
Wafanyabiashara walalamikia uchakavu wa soko
WAFANYABIASHARA wa soko kuu la wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi wamelalamikia uchakavu wa majengo ya soko hilo, na kuiomba halmashauri hiyo kufanya ukarabati.
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Wafanyabiashara Mwika walalamikia ushuru magari
10 years ago
StarTV26 Jan
Wafanyabiashara Mutukula walalamikia viwango vya ushuru
Na Mariam Emily,
Bukoba.
Wafanyabiashara na wajasiriamali wadogo mkoani Kagera wameiomba Mamlaka ya Mapato nchini TRA kuweka kiwango cha ushuru kinachoeleweka ili kuwaondolea adha wanayoipata katika mpaka wa Mutukula pindi wanapotoa bidhaa zao nchi jirani ya Uganda.
Malalamiko hayo yametolewa na wafanyabiashara hao katika kikao cha pamoja baina yao na maafisa waandamizi kutoka Wizara ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kilichofanyika mjini Bukoba.
Kikao cha pamoja baina ya wadau wa...
9 years ago
StarTV07 Nov
Wafanyabiashara Soko Kuu Mtwara walalamikia upatikanaji wa bidhaa
Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Mkoa wa Mtwara wamelalamikia upatikanaji wa bidhaa hususani za nafaka kutokana na zoezi la Uchaguzi lililomalizika hali ambayo imesababisha gharama za bidhaa hizo kupanda maradufu na kuathiri wateja wa Mkoa huo.
Licha ya kumalizika kwa uchaguzi lakini bado uingizwaji wa bidhaa umekuwa hafifu kutokana na baadhi ya wafanyabishaara wanaomiliki magari ya mizigo kugoma kufuata mizigo mashambani.
Bidhaa nyingi zinazoingia katika Soko Kuu la mkoa wa Mtwara kwa kiasi...
5 years ago
The Citizen Daily18 Mar
Coronavirus effect felt as Kenya restricts Namanga border crossing
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--1H5nRVQnFA/XsZxd-IEzHI/AAAAAAALrHE/XJxze2bZ7TAtS3lyPp19loWXC9jVDQBtgCLcBGAsYHQ/s72-c/eb049305-fce8-41a8-992d-8a41768d87da.jpg)
WAFANYABIASHARA VIFAA VYA UMEME DAR WALALAMIKIA NYAYA ZISIZO NA UBORA,WAIOMBA TBS KUFANYA MSAKO
![](https://1.bp.blogspot.com/--1H5nRVQnFA/XsZxd-IEzHI/AAAAAAALrHE/XJxze2bZ7TAtS3lyPp19loWXC9jVDQBtgCLcBGAsYHQ/s320/eb049305-fce8-41a8-992d-8a41768d87da.jpg)
BAADHI ya wafanyabiashara ya kuuza vifaa vya umeme vya aina mbalimbali katika Jiji la Dar es Salaam wamelalamikia uwepo wa vifaa hivyo na hasa nyaya ambazo ziko chini ya kiwango na ubora ambazo zinatengenezwa na baadhi ya viwanda vilivyopo nchini, hivyo wametoa ombi kwa Serikali kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na tume ya ushindani (FCC) kufanya msako viwandani na madukani ili kubaini.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam,...