Wafanyabiashara Mwika walalamikia ushuru magari
Wafanyabiashara wa mazao ya ndizi na maparachichi katika Soko la Mwika lililopo Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wamelalamikia ongezeko la ushuru wa magari makubwa katika soko hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV26 Jan
Wafanyabiashara Mutukula walalamikia viwango vya ushuru
Na Mariam Emily,
Bukoba.
Wafanyabiashara na wajasiriamali wadogo mkoani Kagera wameiomba Mamlaka ya Mapato nchini TRA kuweka kiwango cha ushuru kinachoeleweka ili kuwaondolea adha wanayoipata katika mpaka wa Mutukula pindi wanapotoa bidhaa zao nchi jirani ya Uganda.
Malalamiko hayo yametolewa na wafanyabiashara hao katika kikao cha pamoja baina yao na maafisa waandamizi kutoka Wizara ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kilichofanyika mjini Bukoba.
Kikao cha pamoja baina ya wadau wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/LU8NTD4KxdY/default.jpg)
9 years ago
StarTV19 Dec
Uendeshaji Kilimo Cha Tumbaku Wakulima walalamikia makato ya ushuru
Wakulima wa zao la tumbaku nchini, wamelalamikia serikali juu ya makato makubwa ya ushuru wanaokwata katika zao hilo, lakini mwisho wa siku hakuna fedha zinazorudishwa katika kuwasaidia wakulima hao hatua inayowafanya kuendesha kilimo hicho kwa shida.
Wakulima hao wamesema bado kuna matatizo mengi yanayowakabili na serikali haijaamua kuyafanyia kazi, ikiwemo suala la makampuni yanayonunua zao hilo, kuwakata kilo za tumbaku, ambazo huwa tofauti na wanazokubaliana kununua.
Zao la tumbaku...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Wafanyabiashara walia na ushuru
USHURU wa mabango na kodi nyingine zinazotozwa kwa wafanyabiashara wa mji wa Mailimoja zimeelezwa kuwa ni changamoto kubwa kwa wafanyabiashara. Akizungumza wakati akikabidhi zawadi mbalimbali kwa wateja walionunua simu kwenye...
9 years ago
Habarileo05 Jan
Wafanyabiashara walalamikia uchakavu wa soko
WAFANYABIASHARA wa soko kuu la wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi wamelalamikia uchakavu wa majengo ya soko hilo, na kuiomba halmashauri hiyo kufanya ukarabati.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oh2xyTqDoOU/VB3moxSEn1I/AAAAAAAGkx8/Xbnpx71g1Vw/s72-c/Machapisho.jpg)
Wafanyabiashara Namanga walalamikia kunyanyaswa nchini Kenya
Wafanyabiashara hao walitoa ombi lao jana Septemba 19 wakati wa mkutano na Maofisa wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wanaotembelea mipaka mbalimbali kwa ajili ya kutoa elimu ya Mtangamano wa Afrika Mashariki.
Baadhi ya manyanyaso wanayopata wanadai ni kuombwa kitu kidogo, kupewa malipo kidogo...
9 years ago
StarTV07 Nov
Wafanyabiashara Soko Kuu Mtwara walalamikia upatikanaji wa bidhaa
Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Mkoa wa Mtwara wamelalamikia upatikanaji wa bidhaa hususani za nafaka kutokana na zoezi la Uchaguzi lililomalizika hali ambayo imesababisha gharama za bidhaa hizo kupanda maradufu na kuathiri wateja wa Mkoa huo.
Licha ya kumalizika kwa uchaguzi lakini bado uingizwaji wa bidhaa umekuwa hafifu kutokana na baadhi ya wafanyabishaara wanaomiliki magari ya mizigo kugoma kufuata mizigo mashambani.
Bidhaa nyingi zinazoingia katika Soko Kuu la mkoa wa Mtwara kwa kiasi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--1H5nRVQnFA/XsZxd-IEzHI/AAAAAAALrHE/XJxze2bZ7TAtS3lyPp19loWXC9jVDQBtgCLcBGAsYHQ/s72-c/eb049305-fce8-41a8-992d-8a41768d87da.jpg)
WAFANYABIASHARA VIFAA VYA UMEME DAR WALALAMIKIA NYAYA ZISIZO NA UBORA,WAIOMBA TBS KUFANYA MSAKO
![](https://1.bp.blogspot.com/--1H5nRVQnFA/XsZxd-IEzHI/AAAAAAALrHE/XJxze2bZ7TAtS3lyPp19loWXC9jVDQBtgCLcBGAsYHQ/s320/eb049305-fce8-41a8-992d-8a41768d87da.jpg)
BAADHI ya wafanyabiashara ya kuuza vifaa vya umeme vya aina mbalimbali katika Jiji la Dar es Salaam wamelalamikia uwepo wa vifaa hivyo na hasa nyaya ambazo ziko chini ya kiwango na ubora ambazo zinatengenezwa na baadhi ya viwanda vilivyopo nchini, hivyo wametoa ombi kwa Serikali kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na tume ya ushindani (FCC) kufanya msako viwandani na madukani ili kubaini.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-anBJxm5odYo/VXx2NYDnRjI/AAAAAAAC6iQ/JxvMUDk-4Lk/s72-c/7.jpg)
KINANA AITAKA SERIKALI KURAHISISHA UTOAJI WA LESENI KWA WAFANYABIASHARA,MADEREVA WA MAGARI NA BODABODA
![](http://3.bp.blogspot.com/-anBJxm5odYo/VXx2NYDnRjI/AAAAAAAC6iQ/JxvMUDk-4Lk/s640/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sbI-B1iVfYE/VXx18I7VJZI/AAAAAAAC6gI/hvmtw1Akl_4/s640/14.jpg)