Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyabiashara walia na ushuru

USHURU wa mabango na kodi nyingine zinazotozwa kwa wafanyabiashara wa mji wa Mailimoja zimeelezwa kuwa ni changamoto kubwa kwa wafanyabiashara. Akizungumza wakati akikabidhi zawadi mbalimbali kwa wateja walionunua simu kwenye...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara Mwika walalamikia ushuru magari

Wafanyabiashara wa mazao ya ndizi na maparachichi katika Soko la Mwika lililopo Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wamelalamikia ongezeko la ushuru wa magari makubwa katika soko hilo.

 

10 years ago

StarTV

Wafanyabiashara Mutukula walalamikia viwango vya ushuru

Na Mariam Emily,

Bukoba.

Wafanyabiashara na wajasiriamali wadogo mkoani Kagera wameiomba Mamlaka ya Mapato nchini TRA kuweka kiwango cha ushuru kinachoeleweka ili kuwaondolea adha wanayoipata katika mpaka wa Mutukula pindi wanapotoa bidhaa zao nchi jirani ya Uganda.

Malalamiko hayo yametolewa na wafanyabiashara hao katika kikao cha pamoja baina yao na maafisa waandamizi kutoka Wizara ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kilichofanyika mjini Bukoba.

Kikao cha pamoja baina ya wadau wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara walia na vikwazo

Baadhi ya wafanyabiashara wamesema vikwazo vya ndani vya kufanya biashara vinawakatisha tamaa ya kuchangamkia masoko kwenye nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

 

9 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara walia na soko

Wafanyabiashara wanaotumia Soko la Chogo wilayani Handeni, Mkoa wa Tanga wamelalamikia uongozi wa eneo hilo kuacha kuboresha vyoo na miundombinu mingine muhimu.

 

10 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara walia na Tanesco

>Kukosekana kwa umeme kwa wakazi wa mjini hapa kwa muda wa wiki mbili sasa, kumezua maswali hali inayosababisha baadhi ya wafanyabiashara kufunga biashara zao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara Mwenge walia kituo kuhama

WAFANYABIASHARA wa eneo la Kituo cha Daladala Mwenge, Dar es Salaam, wameilalamikia serikali kwa kuhamisha kituo hicho na kukipeleka Makumbusho kwa kuwa sasa biashara zao zimedorora. Wakizungumza na Tanzania Daima...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara wa matunda walia na miundombinu mibovu

MATUNDA ni lishe muhimu kwa binadamu, lakini yanahitaji uhifadhi mzuri kabla ya kuliwa. Kwa mfanyabiashara, matundani mali ingawa kuoza ni rahisi. Yakiwa mabichi yanaweza kuuzwa kwa bei nzuri, lakini yakishaanza...

 

9 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara K’koo walia, TRA yawajibu

Baadhi ya wafanyabiashara wa mitaa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam, wamelalamikia hali ngumu ya biashara zao tangu Rais John Magufuli aliopoingia madarakani na kasi ya kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara walia nyanya kupanda bei

NYANYA ni tunda au mboga? Mkanganyiko huo umeibuka kwa sababu ya tofauti ya matumizi kati ya wanasayansi na wapishi. Wanasayansi wanasema nyanya ni tunda. Kwa hapa nchini, nyanya hutumika kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani