Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANANCHI WA KEMONDO WALALAMIKIA USHURU KWA KINANA


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara Mwika walalamikia ushuru magari

Wafanyabiashara wa mazao ya ndizi na maparachichi katika Soko la Mwika lililopo Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wamelalamikia ongezeko la ushuru wa magari makubwa katika soko hilo.

 

10 years ago

StarTV

Wafanyabiashara Mutukula walalamikia viwango vya ushuru

Na Mariam Emily,

Bukoba.

Wafanyabiashara na wajasiriamali wadogo mkoani Kagera wameiomba Mamlaka ya Mapato nchini TRA kuweka kiwango cha ushuru kinachoeleweka ili kuwaondolea adha wanayoipata katika mpaka wa Mutukula pindi wanapotoa bidhaa zao nchi jirani ya Uganda.

Malalamiko hayo yametolewa na wafanyabiashara hao katika kikao cha pamoja baina yao na maafisa waandamizi kutoka Wizara ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kilichofanyika mjini Bukoba.

Kikao cha pamoja baina ya wadau wa...

 

9 years ago

StarTV

Uendeshaji Kilimo Cha Tumbaku Wakulima walalamikia makato ya ushuru

Wakulima wa zao la tumbaku nchini, wamelalamikia serikali juu ya makato makubwa  ya ushuru wanaokwata katika zao hilo, lakini mwisho wa siku hakuna fedha zinazorudishwa katika kuwasaidia wakulima hao hatua inayowafanya kuendesha kilimo hicho kwa shida.

 

Wakulima hao wamesema bado  kuna matatizo mengi yanayowakabili na serikali haijaamua kuyafanyia kazi, ikiwemo suala la makampuni yanayonunua zao hilo, kuwakata kilo za tumbaku, ambazo huwa tofauti na wanazokubaliana kununua.

 

Zao la tumbaku...

 

10 years ago

GPL

PERAMIHO: USHURU WA MAZAO, KUKOSEKANA KWA MAWASILIANO YA SIMU, MAJI NA UMEME VYAWATESA WANANCHI

Peramiho ni moja kati ya majimbo saba yaliyopo kwenye Mkoa wa Ruvuma, linaloongozwa na Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM). Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama. Wiki iliyopita, Gazeti la Uwazi lilifunga safari mpaka kwenye jimbo hilo ambapo mwandishi wetu alifanya mahojiano na wananchi mbalimbali walioeleza matatizo yanayowakabili na jinsi mbunge wao anavyotekeleza ahadi zake. Baada ya hapo,...

 

11 years ago

Michuzi

madaktari walalamikia kutokamilika kwa miradi ya ujenzi vituo vya afya kwa wakati,wakulima wa tumbaku waangusha kilio chao mbele ya Kinana wilayani sikonge

   Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo ya ujenzi wa jengo la upasuaji na Dk.Sylvanus Kabutura Mganga Mfawidhi wa kituo cha afya cha Kata ya Kitunda wilayani Sikonge,Daktari Kabutura  alimueleza Katibu Mkuu wa CCM changamoto kubwa uhaba wa maji katika kituo hicho,na pia kutokamilika kwa jengo kubwa la huduma za upasuaji na huduma nyingine zaidi ya mwaka,jambo ambalo Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana hakufurahishwa nalo,kwani kumekuwepo na malalamiko makubwa kutoka kwa...

 

10 years ago

Habarileo

'Ushuru mazao ya misitu unaumiza wananchi'

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameahidi wananchi wa wilaya za Rufiji na Mkuranga, kuwa ataishauri Serikali ili iangalie uwezekano wa kupunguza ushuru unaotokana na misitu.

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AITEKA HANDENI WENGI WAMPONGEZA KWA KUTOA NAFASI KWA WANANCHI KUULIZA MASWALI



Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kata ya Kwaluguru wakati wa kukagua maendeleo ya ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika shule ya sekondari Kwaluguru wilayani Handeni.Wananchi wa kata ya Kwaluguru wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahma Kinana  wakati wa ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa maabara tatu za masomo ya sayansi katika shule ya sekondari Kwaluguru ambapo vyumba 83 vya maabara vinajengwa wilayani Handeni.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

 

10 years ago

Mtanzania

Wananchi wamshtaki Pinda kwa Kinana

Mizengo-PindaNA ELIYA MBONEA, NGORONGORO

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, anadaiwa kutoa ahadi hewa ya magunia 10 ya mahindi kwa kila kaya kwa mwaka kama njia mbadala ya kilimo cha kujikimu kwa wananchi wanaoishi ndani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, mkoani Arusha.
Ahadi hiyo aliitoa Septemba 19, mwaka juzi, akiwa Endulen wilayani hapa, bila kuwapo kwa maandishi ya Serikali, hatua inayoligharimu Baraza la Wafugaji la Wilaya ya Ngorongoro kwa sasa mbele ya wananchi.
Akizungumza kwa niaba ya wananchi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani