Uendeshaji Kilimo Cha Tumbaku Wakulima walalamikia makato ya ushuru
Wakulima wa zao la tumbaku nchini, wamelalamikia serikali juu ya makato makubwa ya ushuru wanaokwata katika zao hilo, lakini mwisho wa siku hakuna fedha zinazorudishwa katika kuwasaidia wakulima hao hatua inayowafanya kuendesha kilimo hicho kwa shida.
Wakulima hao wamesema bado kuna matatizo mengi yanayowakabili na serikali haijaamua kuyafanyia kazi, ikiwemo suala la makampuni yanayonunua zao hilo, kuwakata kilo za tumbaku, ambazo huwa tofauti na wanazokubaliana kununua.
Zao la tumbaku...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi06 Jan
Waziri wa kilimo atua mkoani Iringa, akutana na wakulima wa Tumbaku
![mwi5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/mwi5.jpg)
![mwi3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/mwi3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iG8ZUJFuszM/U3UURrt4_2I/AAAAAAAChGc/jvhfZkJNrvg/s72-c/6.jpg)
madaktari walalamikia kutokamilika kwa miradi ya ujenzi vituo vya afya kwa wakati,wakulima wa tumbaku waangusha kilio chao mbele ya Kinana wilayani sikonge
![](http://2.bp.blogspot.com/-iG8ZUJFuszM/U3UURrt4_2I/AAAAAAAChGc/jvhfZkJNrvg/s1600/6.jpg)
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Serikali idhibiti kilimo cha tumbaku-TTCF
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Madiwani walalamikia makato benki
10 years ago
Mwananchi21 Oct
TRL walalamikia makato ya bima
9 years ago
StarTV16 Nov
Wakulima Nzega walalamikia pembejeo za kilimo cha pamba
Baadhi ya wakulima wa Pamba wilayani Nzega mkoani Tabora wameingiwa hofu ya kukiuka kalenda ya uzalishaji wa zao hilo kutokana na kucheleweshewa pembejeo za kilimo hicho zikiwemo mbegu.
Kwa mujibu wa kalenda ya Pamba kanda ya magharibi, ifikapo Novemba 15 hadi Desemba 15, zao hilo linapaswa kuwa limepandwa ili kuepuka mazalia ya wadudu waharibifu pamoja na kuimarisha ustawi wa zao hilo.
Mvua za masika zimekwisha anza kunyesha, wakulima wengine wanaendelea na shuguli za kilimo, hofu ni...
11 years ago
Michuzi18 May
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_3ehNVYIol8/Xmj7csL9zbI/AAAAAAAC8Rc/-unosEn8oYIsqi9sW8YT0ToiXVD-_X32wCLcBGAsYHQ/s72-c/R1.jpg)
WAZIRI MHAGAMA ATAKA MAFUNZO YA KILIMO CHA KISASA KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA KITALU NYUMBA KUIMARISHWA USIMAMIZI NA UENDESHAJI
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Wafanyabiashara Mwika walalamikia ushuru magari