Waziri wa kilimo atua mkoani Iringa, akutana na wakulima wa Tumbaku
Waziri wa Kilimo Mifugo na Ushirika Mh. Mwigulu Nchemba akipokelewa katika ofisi ya Mkuu wa Iringa na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa Mh. Amina Masenza na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh. Richard Kasesela.
Waziri wa kilimo Mh Mwigulu Nchemba leo amesikiliza malalamiko ya wakulima wa Tumbaku na kuwahakikishia zao la tumbaku halitakufa kwani linaleta pato kwa taifa. Waziri wa kilimo Mh Mwigulu Nchemba leo amesikiliza malalamiko ya wakulima wa Tumbaku na kuwahakikishia zao la tumbaku...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DIusPcmgnRM/U8BFx3pYahI/AAAAAAAF1Rg/WWSTXlo-ZDE/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Waziri wa Kilimo na Ushirika akutana na Wanunuzi wa Tumbaku
9 years ago
StarTV19 Dec
Uendeshaji Kilimo Cha Tumbaku Wakulima walalamikia makato ya ushuru
Wakulima wa zao la tumbaku nchini, wamelalamikia serikali juu ya makato makubwa ya ushuru wanaokwata katika zao hilo, lakini mwisho wa siku hakuna fedha zinazorudishwa katika kuwasaidia wakulima hao hatua inayowafanya kuendesha kilimo hicho kwa shida.
Wakulima hao wamesema bado kuna matatizo mengi yanayowakabili na serikali haijaamua kuyafanyia kazi, ikiwemo suala la makampuni yanayonunua zao hilo, kuwakata kilo za tumbaku, ambazo huwa tofauti na wanazokubaliana kununua.
Zao la tumbaku...
11 years ago
Michuzi18 May
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-va4otQTSZGg/U3O56nZ-bOI/AAAAAAAChDc/IGfYDMZHR08/s72-c/22.jpg)
WAKULIMA WA TUMBAKU WAULALALMIKIA UBADHILIFU MKUBWA WA FEDHA ULIOFANYWA NA VYAMA VYA USHIRIKA WILAYANI SIKONGE MKOANI TABORA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-va4otQTSZGg/U3O56nZ-bOI/AAAAAAAChDc/IGfYDMZHR08/s1600/22.jpg)
Aidha,Wananchi wa Sikonge wameulalamikia ubadhilifu huo mkubwa wa fedha...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MaZ5eP34R-4/UwpR0rKs9tI/AAAAAAACbAc/C8Vok4A2acw/s72-c/3.jpg)
mwaka wa Kilimo wa Afrika wazinduliwa mkoani Iringa
![](http://3.bp.blogspot.com/-MaZ5eP34R-4/UwpR0rKs9tI/AAAAAAACbAc/C8Vok4A2acw/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4qcYZSH-Nb8/UwpR4igGdjI/AAAAAAACbAk/JmumwMD0fYc/s1600/4.jpg)
5 years ago
StarTV19 Feb
Waziri Mkuu Majaliwa atua Iringa tayari kwenda Njombe.
10 years ago
MichuziWAZIRI CHIKAWE ATUA KIGOMA, AKUTANA NA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AZINDUA MFUMO WA KUWAUNGANISHA WAKULIMA NA WANUNUZI WA MAZAO (MOBILE KILIMO)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-b6mUdh2y6Ks/VPgqqsphECI/AAAAAAAHHx0/FRnRm7laLNs/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Akutana na Balozi wa Marekani
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6mUdh2y6Ks/VPgqqsphECI/AAAAAAAHHx0/FRnRm7laLNs/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
Mhe Wasira katika mazungumzo yake na Balozi Childdress alibainisha changamoto zinazokabili kilimo nchini kuwa ni pamoja na zana duni zinazotumiwa na wakulima wadogo katika kilimo kuwa ni jembe la mkono. Alisema kwa kutumia jembe la mkono itakuwa ni ngumu kuondoa umaskini kwa wakulima wadogo katika maeneo ya vijijini.
Aliongeza...