mwaka wa Kilimo wa Afrika wazinduliwa mkoani Iringa

Mkuu wa Mkoa wa Iringa,Mh.Dkt.Christine Ishengoma akipiga makofi mara baada ya kukata utepe kuashiria uzinduzi wa ghala la Mazao,katika kijiji cha Kaning`ombe,wilayani Iringa mkoani humo mwishoni mwa wiki,wakati wa uzinduzi wa mwaka wa Kilimo wa Afrika.
Sehemu ya Wadau mbalimbali wa kilimo walioshiriki uzinduzi huo wa Mwaka wa Kilimo wa Afrika mkoani Iringa.
Mwakilishi wa shirika la Afrika One kutoka Afrika Kusini,Mercy Erhiawarien akitoa ufafanuzi mbele ya wadau wa kilimo (hawapo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi20 Feb
MWAKA WA KILIMO WA AFRIKA WAZINDULIWA KANING'OMBE JIMBO LA KALENGA IRINGA
11 years ago
Michuzi20 Feb
UZINDUZI WA MWAKA WA KILIMO-AFRIKA WAFANYIKA IRINGA LEO
Picha na Francis Godwin
9 years ago
Michuzi06 Jan
Waziri wa kilimo atua mkoani Iringa, akutana na wakulima wa Tumbaku


10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Wasanii mkoani Iringa wamemtungia wimbo mgombea ubunge jimbo la Iringa Mjini Frank Kibiki
MSANII wa muziki wa kizazi, kipya mjini Iringa, ONE LEE akitoa zawadi ya ngoma kwa mwandishi wa Habari Frank Kibiki kwa niaba ya wasanii wenzake, ambaye hivi karibuni alitangaza nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Iringa mjini.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Iringa, wasanii hao walisema wameamua kutengeneza wimbo huo kutokana na mchango mkubwa wa mwanahabari huyo, katika fani yao.
Msanii huyo Richard Kayombo ‘One Lee’ ambaye alikabidhi wimbo kwa niaba ya wasanii wenzake...
11 years ago
Michuzi
MKUU WA MKOA WA RUKWA AONANA NA WATAFITI KUTOKA TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO UYOLE MBEYA KUJADILI KUINUA KILIMO CHA NGANO MKOANI RUKWA


10 years ago
GPL
MPANGO WA MAKTABA ZA DIJITALI WAZINDULIWA AFRIKA KUSINI, UMEWEZESHWA NA VODACOM, HUAWEI NA TAASISI YA NELSON MANDELA
5 years ago
Michuzi
Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani wazinduliwa rasmi mkoani Katavi.
Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani umezinduliwa rasmi mkoani Katavi.
Akizungumza wakati akizindua Msafara huo Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Juma Zuberi Homera amesema kuwa vitendo vya kikatili vimekuwa vikishamiri kila siku katika jamii zetu hivyo vinatakiwa kupatiwa mbinu ya kupambana navyo.
Ameongeza kuwa Serikali haiwezi kuvumilia kuona wanawake na watoto wanafanyiwa vitendo vya kikatili hivyo itahakikisha...
10 years ago
Vijimambo
LOWASSA AUNGURUMA MKOANI IRINGA


11 years ago
Michuzi09 Apr
ubunifu uliotukuka mkoani iringa
Na Francis Godwin, Iringa
Amini usiamin. Bodi la gari hili aina ya Hiace lenye namba za...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10