ubunifu uliotukuka mkoani iringa
Kenny Mwangoka akiendesha gari hilo ambalo bodi lake limetengenezwa kwa mbao
Kenny Mwangoka akifungua mlango wa nyuma wa gari hilo akionesha umadhubuti wa bori lake
Mwanahabari huyu Oliva Motto wa Star TV hakuamini kama kilichounda bodi ya gari hilo ni mbao mpaka alipogusa na kujiridhisha
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Peter Tweve akimpongeza Mwangoka kwa ubinifu huo
Na Francis Godwin, Iringa
Amini usiamin. Bodi la gari hili aina ya Hiace lenye namba za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Wasanii mkoani Iringa wamemtungia wimbo mgombea ubunge jimbo la Iringa Mjini Frank Kibiki
MSANII wa muziki wa kizazi, kipya mjini Iringa, ONE LEE akitoa zawadi ya ngoma kwa mwandishi wa Habari Frank Kibiki kwa niaba ya wasanii wenzake, ambaye hivi karibuni alitangaza nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Iringa mjini.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Iringa, wasanii hao walisema wameamua kutengeneza wimbo huo kutokana na mchango mkubwa wa mwanahabari huyo, katika fani yao.
Msanii huyo Richard Kayombo ‘One Lee’ ambaye alikabidhi wimbo kwa niaba ya wasanii wenzake...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TqeVrRiKypU/VeNaXCR_BrI/AAAAAAAAAlA/rH9OIMXHrEk/s72-c/OTH_1096.jpg)
LOWASSA AUNGURUMA MKOANI IRINGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TqeVrRiKypU/VeNaXCR_BrI/AAAAAAAAAlA/rH9OIMXHrEk/s640/OTH_1096.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V8dkFGlzkvk/VeNagizJuXI/AAAAAAAAAlM/gd_o7MnFYFA/s640/OTH_1136.jpg)
9 years ago
MichuziMUFINDI YASHIKA UKWANZA MKOANI IRINGA
Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi ya Mkoani Iringa imeibuka mshindi wa kwanza kimkoa na kushika nafasi za juu kikanda na kitaifa, kati ya Halmashauri tano za Mkoa wa Iringa, baada ya kufanya vizuri zaidi wakati wa mbio za mwenge wa uhuru ulipokimbishwa Mkoani Iringa mnamo mwezi Juni mwaka huu.
Taarifa ya kitengo cha habari na mawasiliano cha Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi imevitaja baadhi ya vigezo kati ya vigezo 10 vilivyoshindanishwa, kuwa ni pamoja na miradi yenye maslahi kwa umma...
9 years ago
StarTV28 Sep
Ibada ya kuombea uchaguzi yafanyika mkoani Iringa
Viongozi wa Juu wa Mkoa wa Iringa wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Amina Masenza wameshiriki Ibada maalum ya kuombea Taifa amani kabla na baada ya uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Ibada hiyo maalum imefanyika Jumamosi hii mjini Iringa katika Kanisa Kuu la Sloam njia ya Kusini na kuhudhuriwa na mamia ya waumini wa Kanisa hilo.
Mkuu wa Mkoa, Katibu Tawala na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa walinyanyua bendera na ramani ya Taifa wakati wa...
11 years ago
Michuzi03 Jun
Polisi Feki watiwa mbaroni mkoani Iringa
Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa,Ramadhan Mungi akiwaonyesha maaskari feki ambao walikuwa wakifanya utapeli katika mikoa ya Iringa na Morogoro ,kulia ni Bazil Nyakunga ambae ni mwalimu akiwa na sare za polisi na katikati ni bossi wake Godlack Mbehale.
Na Francis Godwin,Iringa
MATAPELI washindwa kubaki njia kuu sasa waanza michepuko mipya ni baada ya jeshi la polisi mkoa wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MaZ5eP34R-4/UwpR0rKs9tI/AAAAAAACbAc/C8Vok4A2acw/s72-c/3.jpg)
mwaka wa Kilimo wa Afrika wazinduliwa mkoani Iringa
![](http://3.bp.blogspot.com/-MaZ5eP34R-4/UwpR0rKs9tI/AAAAAAACbAc/C8Vok4A2acw/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4qcYZSH-Nb8/UwpR4igGdjI/AAAAAAACbAk/JmumwMD0fYc/s1600/4.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XCoElX7q3j1*zkwOtmQIlUnyd709iQx-cgiaNemBZOv2JOyzNZX58C4I0YCy7zl4GHdp378PPGMEzoya-IuMeKSQBs5Tjft4/p.txt.jpg?width=650)
SAKATA LA ESCROW LAIMALIZA CCM MKOANI IRINGA