PERAMIHO: USHURU WA MAZAO, KUKOSEKANA KWA MAWASILIANO YA SIMU, MAJI NA UMEME VYAWATESA WANANCHI
![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVFFe*2RX4SLcJtxSnvvu4MwLHxTJCUgoWQaT-G*KD7hC2KvZYeTlR96y6qIBlvn4rbC-ufQGJmgbEH8VabRJEhG/8.jpg?width=650)
Peramiho ni moja kati ya majimbo saba yaliyopo kwenye Mkoa wa Ruvuma, linaloongozwa na Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM). Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama. Wiki iliyopita, Gazeti la Uwazi lilifunga safari mpaka kwenye jimbo hilo ambapo mwandishi wetu alifanya mahojiano na wananchi mbalimbali walioeleza matatizo yanayowakabili na jinsi mbunge wao anavyotekeleza ahadi zake. Baada ya hapo,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog31 Aug
TANESCO yawatesa wananchi wa Mwanagati Kitunda kwa kukosekana umeme siku tatu mfululizo
Na Mwandishi wetu
Kwa habari tulizozipokea hivi punde toka kwa wananchi wa Mwanagati-Kitunda jijini Dar es Salaam zinasemekana kwamba wananchi wa maeneo haya hawana umeme kwa siku 3 mfululizo usiku na mchana mpaka sasa na hakuna taarifa zozote toka shirika la umeme Tanesco kuelezea hali hii inayoendelea mpaka sasa.
Wananchi mbalimbali wakielezea, walisema hawakupata taarifa yoyote ile toka Tanesco na mpaka sasa wengi wao wamepata hasara kubwa kibiashara kutokana na tatizo ili na upande...
10 years ago
Habarileo16 Sep
'Ushuru mazao ya misitu unaumiza wananchi'
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameahidi wananchi wa wilaya za Rufiji na Mkuranga, kuwa ataishauri Serikali ili iangalie uwezekano wa kupunguza ushuru unaotokana na misitu.
10 years ago
GPLWANANCHI WAGOMA KULIPA USHURU KWASABABU YA CHEMBA YA MAJI TAKA – AFRIKA SANA DAR
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-35hDsgsQkZ4/U6BuM07ztLI/AAAAAAABLoE/GHFyuMo_AvQ/s72-c/PIC+1.png)
Shoti ya Umeme yasababisha Kukosekana Umeme Baadhi ya Maeneo Zanzibar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-35hDsgsQkZ4/U6BuM07ztLI/AAAAAAABLoE/GHFyuMo_AvQ/s1600/PIC+1.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wLPALSA0wcA/U6BuRrBeKjI/AAAAAAABLoU/Xq2PEvJf09w/s1600/PIC+4.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bXlBlTHSs-A/U6BuXprjHcI/AAAAAAABLok/Owounfiqwn8/s1600/PIC+7.png)
Kuamkia alfajiri ya leo ya tarehe 17/06/2014 maeneo yate ya mji wa Unguja na maeneo jirani ya mji wa Unguja yalikumbwa na ukosefu wa umeme uliotokea kuanzia majira ya saa 11 asubuhi hadi saa 7 mchana...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wfxEmWi_bow/VWGRGcEGW9I/AAAAAAAAsaI/9WPjEMYIinY/s72-c/1.jpg)
WANANCHI VIJIJINI KUNUFAIKA NA MAWASILIANO YA SIMU KUTOKA TTCL
Kata hizo ni pamoja; Oljoro –Arusha, Olmotonyi- Arusha, Olorieni – Arusha, Chikola- Dodoma, Mpalanga- Dodoma, Farkwa-Dodoma, Iduo-Dodoma, Masagalu-Tanga,...
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Kukosekana kwa Huduma ya Maji jijini Dar
Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO), limetangaza tatizo la upatikanaji wa huduma ya Maji katika maeneo yote yanayohudumiwa na mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu chini pamoja na baadhi ya maeneo ya Mji wa Bagamoyo mkoani Pwani kutokana na mtambo huo kuzimwa kwa wastani saa 24 siku ya Jumapili tarehe 13/12/2015.
Sababu ya kuzimwa kwa mtambo huo ni kuruhusu kufanya matengenezo na maboresho ya njia kubwa ya Maji inayohudumia eneo la Salasala na viunga vyake vyote.
Akiongea...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hTj7WLfEqZI/Vmq4IMczytI/AAAAAAAILos/3VhcYCvNdmk/s72-c/download%2B%25281%2529.jpeg)
DAWASCO YATANGAZA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MAJI JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-hTj7WLfEqZI/Vmq4IMczytI/AAAAAAAILos/3VhcYCvNdmk/s640/download%2B%25281%2529.jpeg)
Sababu ya kuzimwa kwa mtambo huo ni kuruhusu kufanya matengenezo na maboresho ya njia kubwa ya Maji inayohudumia eneo la Salasala na viunga vyake vyote.
Akiongea na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO yawaomba radhi wakazi wote wa jiji la Dar na mji wa Bagamoyo kwa kukosekana kwa huduma ya maji
![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s1600/Untitled1.png)
Kukosekana kwa huduma hii kulitokana na kazi ya mkandarasi (Sino-hydro Corporation ltd) kuunganisha bomba la zamani na bomba jipya (cross-connection) katika mtambo wa Ruvu Chini eneo la Mpiji, Bagamoyo na eneo la Chuo Kikuu Ardhi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-m6xOQqwBdcs/VIB0UkdWF0I/AAAAAAAG1SY/lHHeUmFwXGI/s72-c/dawasco-March6-2013.jpg)
TAARIFA YA KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA MLANDIZI, KIMARA NA TABATA
![](http://3.bp.blogspot.com/-m6xOQqwBdcs/VIB0UkdWF0I/AAAAAAAG1SY/lHHeUmFwXGI/s1600/dawasco-March6-2013.jpg)
Hali hii imelazimisha kupungua kwa uzalishaji Maji.
Mafundi wa DAWASCO wanaendelea na matengenezo na kuhakikisha Pampu hii inafanya kazi na Huduma ya Maji itarejea katika hali ya...