TANESCO yawatesa wananchi wa Mwanagati Kitunda kwa kukosekana umeme siku tatu mfululizo
Na Mwandishi wetu
Kwa habari tulizozipokea hivi punde toka kwa wananchi wa Mwanagati-Kitunda jijini Dar es Salaam zinasemekana kwamba wananchi wa maeneo haya hawana umeme kwa siku 3 mfululizo usiku na mchana mpaka sasa na hakuna taarifa zozote toka shirika la umeme Tanesco kuelezea hali hii inayoendelea mpaka sasa.
Wananchi mbalimbali wakielezea, walisema hawakupata taarifa yoyote ile toka Tanesco na mpaka sasa wengi wao wamepata hasara kubwa kibiashara kutokana na tatizo ili na upande...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fWtwftMPNnk/VALh1PqLTFI/AAAAAAACpiQ/apF5v_X9NUQ/s72-c/Tanesco_Logo.jpg)
SHIRIKA LA TANESCO LISIKIKILIZE KILIO CHA WAKAZI WA MWANAGATI-KITUNDA.!
![](http://1.bp.blogspot.com/-fWtwftMPNnk/VALh1PqLTFI/AAAAAAACpiQ/apF5v_X9NUQ/s1600/Tanesco_Logo.jpg)
Wakielezea kwa masikitiko makubwa juu ya tatizo hilo,Wananchi hao wamesema kuwa hawakupata taarifa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKm5lKF6dBzzP53TIvjUZvJ7Prq4qhOuCit2QLqps0f04NR3MjLMQBrMFRqbanTksOgFiJXsBy74p4oQ7zOckq0Z/TANESCO.jpg)
SHIRIKA LA TANESCO LISIKILIZE KILIO CHA WAKAZI WA MWANAGATI-KITUNDA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVFFe*2RX4SLcJtxSnvvu4MwLHxTJCUgoWQaT-G*KD7hC2KvZYeTlR96y6qIBlvn4rbC-ufQGJmgbEH8VabRJEhG/8.jpg?width=650)
PERAMIHO: USHURU WA MAZAO, KUKOSEKANA KWA MAWASILIANO YA SIMU, MAJI NA UMEME VYAWATESA WANANCHI
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/SAB5jQvPgtE/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-35hDsgsQkZ4/U6BuM07ztLI/AAAAAAABLoE/GHFyuMo_AvQ/s72-c/PIC+1.png)
Shoti ya Umeme yasababisha Kukosekana Umeme Baadhi ya Maeneo Zanzibar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-35hDsgsQkZ4/U6BuM07ztLI/AAAAAAABLoE/GHFyuMo_AvQ/s1600/PIC+1.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wLPALSA0wcA/U6BuRrBeKjI/AAAAAAABLoU/Xq2PEvJf09w/s1600/PIC+4.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bXlBlTHSs-A/U6BuXprjHcI/AAAAAAABLok/Owounfiqwn8/s1600/PIC+7.png)
Kuamkia alfajiri ya leo ya tarehe 17/06/2014 maeneo yate ya mji wa Unguja na maeneo jirani ya mji wa Unguja yalikumbwa na ukosefu wa umeme uliotokea kuanzia majira ya saa 11 asubuhi hadi saa 7 mchana...
10 years ago
CloudsFM30 Oct
WANANCHI WAILALAMIKIA TANESCO KUKATA UMEME BILA TAARIFA
Tatizo la kukatika kwa umeme, imekuwa kero katika maeneo mbalimbali hapa nchini na lawama nyingi kutoka kwa wananchi zimekuwa zikielekezwa kwa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco).
Maeneo mengi yamekumbwa na kero hiyo tangu wiki iliyopita mpaka jana huku wahusika wakishindwa kutoa taarifa ya nini kinachosababisha kero hiyo ya kukatika kwa umeme.
Hata hivyo Afisa habari wa TANESCO,Adrian Sevelin akizungumza na Clouds FM leo asubuhi alisema kuwa hali inatokana na matengenezo wanayofanya ikiwemo...
10 years ago
Habarileo19 Jan
Tanesco waagizwa kuunganisha umeme ndani ya siku 7
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameitaka Bodi mpya ya Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) kuliongoza shirika hilo kwa ufanisi na kuhakikisha kuwa mteja mpya anapoomba umeme anafungiwa ndani ya wiki moja.
10 years ago
Mwananchi10 Apr
Tanesco yatangaza mgawo wa umeme wa siku tisa
10 years ago
Habarileo06 Oct
Tanesco waagizwa kuunganisha umeme siku moja
SERIKALI imelitaka Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kuunganishia wateja umeme ndani ya siku kama watalipa kabla ya saa nne asubuhi. Agizo hilo lilitolewa jana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga wakati akizungumza na menejimenti ya Tanesco mkoa wa Mwanza katika ziara yake ya kukagua miradi ya umeme.