Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KINANA AITAKA SERIKALI KURAHISISHA UTOAJI WA LESENI KWA WAFANYABIASHARA,MADEREVA WA MAGARI NA BODABODA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizindua rasmi Chanjo ya  watoto kuzuia maambukizi ya magonjwa katika kata ya Nyakisasa kijiji cha Kashinga akiwa katika ziara yake ya kikazi wilayani Ngara mkoani Kagera,lengo la ziara hiyo likiwani ni kukagua utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2010 na kuhimiza uhai wa chama, Katika ziara hiyo Kinana anaongozana na ktibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na viongozi mbalimbali wa CCM  kutoka mkoa wa Kagera. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Makonda azuia utoaji wa leseni kwa maeneo ya kuuzia magari

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amezuia utoaji wa leseni za maeneo ya kuuzia magari ikiwa ni pamoja na kumuagiza Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa hiyo kuja na mpango kazi wa kutenga maeneo maalumu ya kuuzia magari ifikapo Desemba 26, mwaka huu.

Zuio hilo ni sehemu ya mpango mkakati wa kudhibiti ongezeko holela la maduka hayo na kisha kutoa mwaka mmoja kwa wamiliki wa maeneo hayo kujipanga na kuhamia kwenye maeneo husika yatakayopangwa na manispaa kwajili ya biashara hiyo.

 Kuyumba kwa...

 

11 years ago

CloudsFM

SUGU AITAKA SERIKALI KUWASAIDIA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO

Kinachoendelea bungeni mjini Dodoma, baada ya bajeti kusomwa wiki iliy opita, sasa hivi ni wakati wa wabunge kuchangia mawazo na mitazamo yao kwenye bajeti hii ya mwaka wa fedha 2014/2015,, mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, hivi karibuni aliishauri serikali kuwasaidia wafanyabiashara wadogo wadogo ili kuweza kunyanyua uchumi wao na taifa kwa ujumla.

 

10 years ago

Dewji Blog

EXCLUSIVE: “Serikali yafuta vikwazo vyote kwa Madereva Nchini..magari yaanza safari muda huu

waziri KabakaWaziri wa Kazi na Ajira nchini, Gaudensia Kabaka akiongea na madereva kwa kutumia kipaza sauti mapema mchana huu na kufuta baadhi ya vikwazo walivyokuwa wakivipinga madereva.

..Mgomo wadumu masaa 9..abiria waonja shubiri ya mabomu ya machozi ..Kamanda Kova, Waziri Kabaka ‘Mashujaa’ wamaliza mgomo ‘kiana’ Madereva wawasubiri Aprili 18

Andrew Chale wa Modewji blog

Hali ya mambo katika ‘segere’ la Madereva Nchini la kuweka mgomo baridi la kutoingia barabarani hadi hapo madai yao ya msingi...

 

10 years ago

Mtanzania

Kinana: Serikali irahisishe upatikanaji leseni wilayani

KINANAANa Patricia Kimelemeta, Ngara
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, ameitaka Serikali kurahisisha upatikanaji wa leseni kwenye wilaya zote nchini badala ya kutolewa makao makuu ya miji pekee.
Alisema kufanya hivyo ni kuchelewesha maendeleo na shughuli za Watanzania ambao wanajitafutia riziki na badala yake mchakato huo uwafuate wananchi kwenye wilaya zao.
Kinana alitoa wito huo jana wakati akihutubia wananchi wa Wilaya ya Ngara mkoani Kagera, katika ziara yake ya siku...

 

11 years ago

Mwananchi

TEKNOLOJIA: Mfumo mpya wa TRA kurahisisha utoaji mizigo

>Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imesema matumizi ya mfumo mpya wa kuratibu mizigo inayotoka nje kuingia nchini utakuwa njia bora katika kuharakisha utoaji wa mizigo hiyo  mara inapoingia.

 

5 years ago

Michuzi

GAMBO AWATAKA MADEREVA BODABODA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUFICHUA UHALIFU MKOANI HUMO


Sehemu wa Madereva bodaboda wa Mkoa wa Arusha wakiwa kwenye mkutano wao na mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kwenye ukumbi wa Hotel ya Mount Meru jijini hapa picha na Ahmed Mahmoud Arusha



Na Ahmed Mahmoud Arusha

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ameliamuru Jeshi la polisi kuziachilia Pikikipi zote Zenye makosa madogo madogo yasiyohusiana na mtukio ya uhalifu zilizoshikwa kwenye Vituo vya polisi .

Ametoa Agizo hilo wakati wakikao chake chakutatua changamoto zinazowakabili madereva wa...

 

5 years ago

Michuzi

MADEREVA 13 WAMESIMAMISHIWA LESENI ZAO KWA MUDA WA MIEZI SITA


Kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi Tanzania SACP Fotunatus Musilimu akiwa na dereva aliyekuwa anaendesha basi bila kufuata utaratibu na sheria za barabarani.



NA FREDY MGUNDA,IRINGA.

Madereva 13 wamesimamishiwa leseni zao kwa muda wa miezi sita na kutokujihusisha na kazi ya udereva wa magari makubwa kwa kosa la kuvunja sheria za uslama barabarani kwa kuendesha
magari hayo kwa mwendo kasi.

Kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi Tanzania SACP Fotunatus Musilimu ameeleza kuwa suala la ajari...

 

9 years ago

Michuzi

WACHIMBAJI WADOGO SHINYANGA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU MFUMO MPYA WA UTOAJI LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO

 Kamishna Msaidizi wa Madini, Kanda ya Kati – Magharibi, Humphrey Mmbando akitoa ufafanuzi wa baadhi ya masuala muhimu yaliyojitokeza wakati wa semina kwa wachimbaji wadogo wa madini kuhusu mfumo mpya wa huduma za utoaji wa leseni za madini kwa njia ya mtandao (Online Mining Cadastre Transactional Portal – OMCTP). Semina hiyo imefanyika leo mjini Shinyanga na ni mwendelezo wa Mafunzo yanayotolewa nchi nzima kwa wachimbaji wadogo na wamiliki wa leseni za madini nchini. Wengine pichani (mstari...

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA MPINGA-MADEREVA WALIOSABABISHA AJALI KWA UZEMBE KUFUTIWA LESENI ZAO.

 Kamanda wa Polisi wa kikosi cha usalama Barabarani Mohammed Mpinga,akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo. Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano  na Kamanda wa Polisi wa kikosi cha usalama  barabarani Mohammed Mpinga  jijini Dar leo.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
KIKOSI cha Usalama Barabarani kimesema wanazifuta leseni zote kwa madereva waliosababisha ajali kwa uzembe zikiwemo ajali za hivi karibuni.
Hayo ameyasema leo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani