Kinana: Serikali irahisishe upatikanaji leseni wilayani
Na Patricia Kimelemeta, Ngara
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, ameitaka Serikali kurahisisha upatikanaji wa leseni kwenye wilaya zote nchini badala ya kutolewa makao makuu ya miji pekee.
Alisema kufanya hivyo ni kuchelewesha maendeleo na shughuli za Watanzania ambao wanajitafutia riziki na badala yake mchakato huo uwafuate wananchi kwenye wilaya zao.
Kinana alitoa wito huo jana wakati akihutubia wananchi wa Wilaya ya Ngara mkoani Kagera, katika ziara yake ya siku...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-anBJxm5odYo/VXx2NYDnRjI/AAAAAAAC6iQ/JxvMUDk-4Lk/s72-c/7.jpg)
KINANA AITAKA SERIKALI KURAHISISHA UTOAJI WA LESENI KWA WAFANYABIASHARA,MADEREVA WA MAGARI NA BODABODA
![](http://3.bp.blogspot.com/-anBJxm5odYo/VXx2NYDnRjI/AAAAAAAC6iQ/JxvMUDk-4Lk/s640/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sbI-B1iVfYE/VXx18I7VJZI/AAAAAAAC6gI/hvmtw1Akl_4/s640/14.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Aku_9jGbS9Y/U4edo3anQ8I/AAAAAAACid4/7nw9Ok4wBU0/s72-c/6.jpg)
KINANA AKERWA NA UPORAJI WA MAENEO YA WANANCHI KUTOKA KWA BAADHI YA VIONGOZI WA CHAMA NA SERIKALI WILAYANI BABATI VIJIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Aku_9jGbS9Y/U4edo3anQ8I/AAAAAAACid4/7nw9Ok4wBU0/s1600/6.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OnosBiFecAk/U4i5J7CLfLI/AAAAAAACig8/9MS1oFaX5wE/s72-c/15.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI BABATI,KESHO KUUNGURUMA WILAYANI KITETO MKOANI MANYARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OnosBiFecAk/U4i5J7CLfLI/AAAAAAACig8/9MS1oFaX5wE/s1600/15.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mrNrxcj4Dbs/U3JDINKOSoI/AAAAAAACg8A/I-t3_YlaX1s/s72-c/14.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI UYUI,KESHO KUUNGURUMA WILAYANI SIKONGE MKOANI TABORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mrNrxcj4Dbs/U3JDINKOSoI/AAAAAAACg8A/I-t3_YlaX1s/s1600/14.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W9HW5Djp1oM/U4oL7-vvagI/AAAAAAACikk/15CxAvn6q70/s72-c/10.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI KITETO,LEO AELEKEA WILAYANI SIMANJIRO MKOANI MANYARA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-W9HW5Djp1oM/U4oL7-vvagI/AAAAAAACikk/15CxAvn6q70/s1600/10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Z3UFj1G8J0/U4oMa_-6G7I/AAAAAAACiks/zcprQEoNIDI/s1600/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yyQ4r6KRmmc/U4qdBWmmpOI/AAAAAAACinQ/tSXrUkruOCU/s1600/7.jpg)
9 years ago
Michuzi21 Dec
SERIKALI WILAYANI CHUNYA KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU WAJIPANGA KUTATUA KERO ZA MAJI WILAYANI HUMO
Na Ezekiel Kamanga ,Mbeya,Jamiimojablog SERIKALI wilayani Chunya Mkoani Mbeya kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wameendelea na jitihada mbalimbali katika...
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YAWEZESHA UPATIKANAJI AJIRA MILIONI 12.6
Ameyasema hayo leo (Jumatano, Aprili mosi, 2019) wakati akiwasilisha hotuba kuhusu Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2020/2021.
“Mafanikio haya katika utekelezaji wa miradi ya...
10 years ago
Habarileo18 Mar
Serikali yaongeza kasi upatikanaji maji
SERIKALI imekamilisha mipango ya kuvuta maji safi na salama kutoka Ziwa Victoria kwa ajili ya wakazi wa mjini ya Tabora, Nzega na Igunga katika Mkoa wa Tabora.