SUGU AITAKA SERIKALI KUWASAIDIA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO
Kinachoendelea bungeni mjini Dodoma, baada ya bajeti kusomwa wiki iliy opita, sasa hivi ni wakati wa wabunge kuchangia mawazo na mitazamo yao kwenye bajeti hii ya mwaka wa fedha 2014/2015,, mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, hivi karibuni aliishauri serikali kuwasaidia wafanyabiashara wadogo wadogo ili kuweza kunyanyua uchumi wao na taifa kwa ujumla.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
KINANA AITAKA SERIKALI KURAHISISHA UTOAJI WA LESENI KWA WAFANYABIASHARA,MADEREVA WA MAGARI NA BODABODA


9 years ago
StarTV14 Nov
Rais Magufuli aombwa kuteua Mbunge atakayewakilisha wafanyabiashara wadogowadogo
Wamachinga mkoani Mbeya wamuomba Rais John Magufuli kutenga nafasi moja kati ya viti kumi vya wabunge wa kuteuliwa vilivyo chini ya mamlaka yake kwa ajili ya mwakilishi mmoja wa kundi la vijana wanaofanya biashara ndogondogo kote nchini.
Wamachinga hao wamemuomba Rais Magufuli kumteua Mbunge wa kundi hilo maalum nchini ili kuwapa fursa ya kufikisha kero na mapendekezo yao serikalini kwa lengo la kuondoa changamoto zinazowakabili katika shughuli zao na misuguano iliyopo baina yao na...
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
Ban aitaka ulaya kuwasaidia wahamiaji
11 years ago
MichuziHATUJAWAHI KUMKOPESHA MBOWE, WALA KUWASAIDIA "SUGU" NA MSIGWA - MFUKO WA PENSHENI WA LAPF
.jpg)
11 years ago
GPL
MFUKO WA KUWASAIDIA WAFANYABIASHARA WALIOATHIRIWA NA MOTO SOKO LA MCHIKICHINI WAANZISHWA
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Maige aitaka serikali kumdai ABG
MBUNGE wa Msalala, Ezekiel Maige (CCM), ameitaka serikali kuzungumza na mwekezaji wa Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu ili ilipe Halmashauri ya Wilaya ya Kahama deni la dola milioni nane za...
10 years ago
VijimamboSERIKALI NA WADAU BINAFSI WASHAURIWA KUWASAIDIA WAJASIRIAMALI WA KITANZANIA
10 years ago
Habarileo12 Jun
Makinda aitaka Serikali kutekeleza bajeti 2015/16
SPIKA Anne Makinda ameitaka Serikali kuhakikisha bajeti ya mwaka 2015/16 inatekelezwa ipasavyo. Makinda alitoa kauli hiyo bungeni mjini hapa jana wakati alipokuwa akiahirisha Bunge muda mfupi baada ya Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum, kumaliza kusoma bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16.
11 years ago
Habarileo15 Dec
Malkia wa Uholanzi aitaka Serikali kusaidia wakulima
MALKIA Maxima wa Uholanzi, ameitaka Serikali kuelekeza juhudi zaidi katika kusaidia wakulima na kuwatafutia masoko ya mazao wanayozalisha ili waweze kuinua hali zao za maisha.