Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ban aitaka ulaya kuwasaidia wahamiaji

Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Ban Ki Moon amezitaka nchi za bara ulaya kutenga maeneo salama kwa wahamiaji na kuonyesha utu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

SUGU AITAKA SERIKALI KUWASAIDIA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO

Kinachoendelea bungeni mjini Dodoma, baada ya bajeti kusomwa wiki iliy opita, sasa hivi ni wakati wa wabunge kuchangia mawazo na mitazamo yao kwenye bajeti hii ya mwaka wa fedha 2014/2015,, mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, hivi karibuni aliishauri serikali kuwasaidia wafanyabiashara wadogo wadogo ili kuweza kunyanyua uchumi wao na taifa kwa ujumla.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji:Mataifa ya Ulaya yatofautiana

Naibu Chansela wa Ujerumani ameelezea ghadhabu zake kutokana na hatua ya mawaziri wa muungano wa Ulaya kushindwa kukubaliana kuhusu mpango wa kugawana wahamiaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji : nchi za ulaya zakosolewa

Waziri wa mashauri ya kigeni nchini Ufaransa ameelezea hisia za nchi za ulaya dhidi ya suala la uhamiji kuwa sawa na sakata.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji:Muungano wa Ulaya wapingwa

Makundi ya kupigania haki za kibinadamu yamesema kuwa mikakati ilioafikiwa na muungano wa Ulaya kuzuia wahamiaji sio ufumbuzi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji ni changamoto kwa Ulaya

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron alitetea uamuzi wa Serikali yake kutowaruhusu wahamiaji wengi

 

9 years ago

BBCSwahili

Umoja wa Ulaya na tatizo la wahamiaji

Viongozi wa Ufaransa na Ujerumani wamezitaka nchi za Umoja wa Ulaya kufanya kazi pamoja kuweza kukabiliana na tatizo la wahamiaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wasababisha msukosuko ulaya

Kumekuwa na dalili za kuongezeka misukosuko kati ya nchi za ulaya wakati zinapojaribu kukabiliana na maelfu ya wahamiaji

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji waokolewa pwani ya Ulaya

Wahamiaji zaidi ya 300 wameokolewa kutoka pwani ya bahari nchini Italia na Ugiriki katika matukio tofauti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji:Mawaziri wa Ulaya wakutana

Mawaziri wa sheria na mambo ya ndani kutoka nchi za Ulaya wanafanya mkutano wa dharura kuzungumzia tatizo la uhamiaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani