Wahamiaji : nchi za ulaya zakosolewa
Waziri wa mashauri ya kigeni nchini Ufaransa ameelezea hisia za nchi za ulaya dhidi ya suala la uhamiji kuwa sawa na sakata.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Boko Haram:Nchi za Ulaya zakosolewa
Askofu mmoja nchini Nigeria ametoa wito kwa mataifa ya magharibi kufanya juhudi za kutosha dhidi ya Boko Haram kama ilivyofanywa dhidi ya washambuliaji wa kiisilamu nchini Ufaransa.
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Nchi za Ulaya zatakiwa kuokoa wahamiaji
Naibu waziri wa ulinzi nchini Ugiriki amezitaka nchi za kaskazini mwa bara Ulaya kuwaokoa wahamiaji kutoka baharini.
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
Wahamiaji:Mataifa ya Ulaya yatofautiana
Naibu Chansela wa Ujerumani ameelezea ghadhabu zake kutokana na hatua ya mawaziri wa muungano wa Ulaya kushindwa kukubaliana kuhusu mpango wa kugawana wahamiaji.
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Suala la wahamiaji Ulaya kitendawili
Nchi za Umoja wa Ulaya zimeshindwa kuafikiana namna ya kuwahudumia watu wanaoingia barani humo kuomba hifadhi
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Wahamiaji wasababisha msukosuko ulaya
Kumekuwa na dalili za kuongezeka misukosuko kati ya nchi za ulaya wakati zinapojaribu kukabiliana na maelfu ya wahamiaji
9 years ago
BBCSwahili03 Sep
Wahamiaji ni changamoto kwa Ulaya
Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron alitetea uamuzi wa Serikali yake kutowaruhusu wahamiaji wengi
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Wahamiaji:Mawaziri wa Ulaya wakutana
Mawaziri wa sheria na mambo ya ndani kutoka nchi za Ulaya wanafanya mkutano wa dharura kuzungumzia tatizo la uhamiaji.
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Wahamiaji:Muungano wa Ulaya wapingwa
Makundi ya kupigania haki za kibinadamu yamesema kuwa mikakati ilioafikiwa na muungano wa Ulaya kuzuia wahamiaji sio ufumbuzi.
11 years ago
BBCSwahili03 Jan
Wahamiaji waokolewa pwani ya Ulaya
Wahamiaji zaidi ya 300 wameokolewa kutoka pwani ya bahari nchini Italia na Ugiriki katika matukio tofauti.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania