Nchi za Ulaya zatakiwa kuokoa wahamiaji
Naibu waziri wa ulinzi nchini Ugiriki amezitaka nchi za kaskazini mwa bara Ulaya kuwaokoa wahamiaji kutoka baharini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili30 Aug
Wahamiaji : nchi za ulaya zakosolewa
9 years ago
StarTV12 Nov
Mashirika,Asasi zatakiwa kuokoa maisha ya watoto njiti
Kufuatia kuzidi kuongezeka kwa vifo vya watoto njiti nchini takribani watoto laki mbili na kumi wanaozaliwa kwa mwaka ni elfu tisa pekee ndiyo wanafanikiwa kupata huduma za matibabu na kuishi.
Kutokana na ongezeko hilo la vifo vya watoto njiti, mashirika pamoja na asasi binafsi zimetakiwa kujitokeza kutoa misaada ya mashine za kusaidia kupumua na za kutolea uchafu kwa watoto hao na si mpaka kuisubiri Serikali kufanya kazi hiyo.
Akibainisha hayo mshirika wa Doris Moleli Faundation amesema...
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Nchi zatakiwa kukabili mabadiliko tabianchi
NCHI zinazoendelea zimetakiwa kuongeza rasilimali fedha za hali ya hewa tofauti na fedha za Msaada wa Maendeleo rasmi ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Hayo yalisemwa na...
10 years ago
Habarileo02 Apr
Nchi za Afrika zatakiwa kuwapa nafasi vijana
RAIS wa Umoja wa Vijana wa Afrika (PYU), Francine Mayumba amewataka viongozi wa nchi barani Afrika kuwapa nafasi vijana za kufanya mambo mbalimbali ya maamuzi kutokana na umuhimu wao katika jamii.
9 years ago
StarTV23 Nov
Nchi za Afrika zatakiwa kushirikiana kuukabiliana na Ujangili Wa Wanyamapori
Serikali imesema nchi zilizo bara la Afrika hazina budi kushirikiana kukabiliana na wimbi kubwa la ujangili wa wanyamapori kutokana na kuendelea kuuawa kwa wanyama kama tembo na Faru.
Takwimu zinaonyesha kuwa Tembo wanazidi kupungua kila mwaka kutokana na kuwepo kwa soko la biashara ya pembe za ndovu katika nchi za ughaibuni.
Takwimu zinaonyesha kuwa tangu mwaka 1980 zaidi ya Tembo elfu 70 wameuawa na majangili katika hifadhi mbalimbali za wanayamapori hapa nchini.
Na takwimu za shirika la...
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Umoja wa Ulaya na tatizo la wahamiaji
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
Wahamiaji:Mataifa ya Ulaya yatofautiana
11 years ago
BBCSwahili03 Jan
Wahamiaji waokolewa pwani ya Ulaya
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Wahamiaji:Mawaziri wa Ulaya wakutana