Nchi za Afrika zatakiwa kushirikiana kuukabiliana na Ujangili Wa Wanyamapori
Serikali imesema nchi zilizo bara la Afrika hazina budi kushirikiana kukabiliana na wimbi kubwa la ujangili wa wanyamapori kutokana na kuendelea kuuawa kwa wanyama kama tembo na Faru.
Takwimu zinaonyesha kuwa Tembo wanazidi kupungua kila mwaka kutokana na kuwepo kwa soko la biashara ya pembe za ndovu katika nchi za ughaibuni.
Takwimu zinaonyesha kuwa tangu mwaka 1980 zaidi ya Tembo elfu 70 wameuawa na majangili katika hifadhi mbalimbali za wanayamapori hapa nchini.
Na takwimu za shirika la...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Apr
Nchi za Afrika zatakiwa kuwapa nafasi vijana
RAIS wa Umoja wa Vijana wa Afrika (PYU), Francine Mayumba amewataka viongozi wa nchi barani Afrika kuwapa nafasi vijana za kufanya mambo mbalimbali ya maamuzi kutokana na umuhimu wao katika jamii.
10 years ago
StarTV06 Feb
Ujerumani yaahidi kushirikiana na nchi za Afrika.
Na Ramadhani Mvungi
Arusha.
Rais wa Ujerumani Joachim Gauck ameahidi taifa lake kuendelea kushirikiana na Nchi za kiafrika katika nyanja mbalimbali ikiwemo kusaidia kukuza mifumo ya uimarishaji wa haki za binadamu kwa kuijengea uwezo zaidi mahakama ya Afrika iliyopo Jijini Arusha.
Ametoa mwito pia kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuendeleza utashi wa kukuza utengamano wenye maslahi kwa wananchi.
Katika ziara yake jijini Arusha Rais Joachim Gauck akiwa kwenye mahakama ya Afrika ya...
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Serikali, sekta binafsi zatakiwa kushirikiana
9 years ago
Habarileo11 Sep
Tume za uchaguzi EAC zatakiwa kushirikiana
TUME za uchaguzi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zimetakiwa kushirikiana na hivyo kutoa ushirikiano kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) katika kipindi hiki kuelekea Uchaguzi Mkuu.
10 years ago
MichuziTANZANIA NA SAUDI ARABIA KUSHIRIKIANA KATIKA UHIFADHI WANYAMAPORI
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Teknolojia ya TOR: Mbinu mpya ya kupambana na ujangili wa wanyamapori
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Nchi za Ulaya zatakiwa kuokoa wahamiaji
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Nchi zatakiwa kukabili mabadiliko tabianchi
NCHI zinazoendelea zimetakiwa kuongeza rasilimali fedha za hali ya hewa tofauti na fedha za Msaada wa Maendeleo rasmi ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Hayo yalisemwa na...