Nchi za Afrika zatakiwa kuwapa nafasi vijana
RAIS wa Umoja wa Vijana wa Afrika (PYU), Francine Mayumba amewataka viongozi wa nchi barani Afrika kuwapa nafasi vijana za kufanya mambo mbalimbali ya maamuzi kutokana na umuhimu wao katika jamii.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV23 Nov
Nchi za Afrika zatakiwa kushirikiana kuukabiliana na Ujangili Wa Wanyamapori
Serikali imesema nchi zilizo bara la Afrika hazina budi kushirikiana kukabiliana na wimbi kubwa la ujangili wa wanyamapori kutokana na kuendelea kuuawa kwa wanyama kama tembo na Faru.
Takwimu zinaonyesha kuwa Tembo wanazidi kupungua kila mwaka kutokana na kuwepo kwa soko la biashara ya pembe za ndovu katika nchi za ughaibuni.
Takwimu zinaonyesha kuwa tangu mwaka 1980 zaidi ya Tembo elfu 70 wameuawa na majangili katika hifadhi mbalimbali za wanayamapori hapa nchini.
Na takwimu za shirika la...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DSFgOkFPlNk/VFems3MrnBI/AAAAAAAGvVQ/KzOksZRda2M/s72-c/unnamed.jpg)
Mkuu wa wilaya Arumeru Mhe Nyirembe Munasa afungua Tamasha la Vijana katika nchi za Afrika Mashariki leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-DSFgOkFPlNk/VFems3MrnBI/AAAAAAAGvVQ/KzOksZRda2M/s1600/unnamed.jpg)
MS -TCDC mkoani Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-V3IluF8BzzU/VFemrf6TLpI/AAAAAAAGvVA/BfYJ3zSiEy8/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5H-1_szjzKo/VFemrYEaNWI/AAAAAAAGvU8/Wt9hsRwB6Qs/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Nchi zatakiwa kukabili mabadiliko tabianchi
NCHI zinazoendelea zimetakiwa kuongeza rasilimali fedha za hali ya hewa tofauti na fedha za Msaada wa Maendeleo rasmi ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Hayo yalisemwa na...
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Nchi za Ulaya zatakiwa kuokoa wahamiaji
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
TaESA kuwapa mafunzo vijana 2,000
WAKALA wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) itatoa mafunzo kwa wahitimu 2,000 wa vyuo vikuu wanatafuta ajira. Akizungumza na waandishi wahabari jijini Dar es Salaam jana, Ofisa habari wa TaESA,...
11 years ago
MichuziHALMASHAURI ZATAKIWA KUTENGA MAENEO KWA AJILI YA SHUGHULI ZA MAENDELEO YA VIJANA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fv30-s9R-HI/U-HahGhJWyI/AAAAAAAF9e0/p2UF2a_EJvg/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Halmashauri zote nchini zatakiwa kutenga asilimia 5 ya mapato kwa ajili ya shughuli za vijana
Hayo yamesemwa jana ( leo) Mkoani Dodoma Wilaya ya Nchemba na Afisa Vijana wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Bi. Amina Sanga katika mafunzo ya Vijana wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kuhusu mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana.
Bi. Amina alisema kuwa vijana ndiyo...