Nchi zatakiwa kukabili mabadiliko tabianchi
NCHI zinazoendelea zimetakiwa kuongeza rasilimali fedha za hali ya hewa tofauti na fedha za Msaada wa Maendeleo rasmi ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Hayo yalisemwa na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSERIKALI ZA VIJIJI ZATAKIWA KUHUSISHA MAAFA YA MABADILIKO YA TABIANCHI NA MIPANGO YA MAENDELEO
5 years ago
Habarileo16 Feb
Mradi kukabili mabadiliko ya tabianchi kunufaisha shule
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba amesema katika jitihada za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na athari zake, ofisi yake imeandaa mradi utakaonufaisha shule za msingi katika wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-avBXUBeVUoo/VXqgdqvdtgI/AAAAAAAHe4E/zr_qDLlFgtY/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
ARUMERU WAPATA MAFUNZO YA KUKABILI MAAFA YATOKANAYO NA MABADILIKO YA TABIANCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-avBXUBeVUoo/VXqgdqvdtgI/AAAAAAAHe4E/zr_qDLlFgtY/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9BSe6kyzm8I/VXqgdkk9p7I/AAAAAAAHe4M/w6Dwihi9k2s/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Aug
Nchi wahisani watoa dola za Marekani milioni 802.15 kukabili mabadiliko ya tabia nchi
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Tausi Kida akimkaribisha ofisini kwake Mwakilishi wa mtandao wa FANPRAN, Sithembile Ndema kwa ajili ya kusaini kitabu cha wageni kabla ya kuelekea kwenye ukumbi wa mikutano.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu
JUMLA ya dola za Marekani milioni 802.15 zimetolewa na nchi wahisani katika kusaidia mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia nchi katika kipindi cha miaka miaka mine iliyopita.
Hayo...
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
Bil. 9.3/- kukabili mabadiliko tabia nchi
KATIKA harakati za kupambana na mabadiliko ya tabia ya nchi Afrika, nchi tajiri zimetoa sh. bilioni 9.3 kwa nchi za Afrika katika kukabiliana na hali hiyo. Hayo yalielezwa mwishoni mwa...
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Asasi zatoa mwelekeo kukabili mabadiliko ya tabia nchi
WIKI hii Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon, aliitisha mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi ambao ulihusisha viongozi kutoka serikalini, masuala ya fedha, biashara na asasi za kiraia....
9 years ago
Dewji Blog03 Dec
UN, Serikali zataka vijana kuongoza katika kukabili mabadiliko tabia nchi Singida
Mkuu wa wilaya ya Ikungi, Chigulu Charles akitoa neno la ukaribisho kwa Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez aliyeambatana na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Parseko Kone katika ziara ya kukagua miradi inayofadhiliwa na Mashirika ya Umoja wa Mataifa mkoani Singida.
Na Modewjiblog team, Singida
MRATIBU wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi mkazi wa Shirika la Mipango ya Maendeleola umoja huo (UNDP)...
11 years ago
Habarileo02 Aug
TRA na ZRB zatakiwa kukabili wakwepa kodi
MAMLAKA ya Mapato (TRA) na Shirika la Mapato Zanzibar(ZRB) zimetakiwa kubuni njia mpya za kukabiliana na wajanja, wanaokwepa kodi na kulikosesha taifa fedha nyingi.
11 years ago
Habarileo25 Feb
Serikali kukabili tatizo la tabianchi
SERIKALI imesema bado inategemea fedha zaidi kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo ili kufanya mambo mengi zaidi katika kukabiliana na tatizo la tabianchi, ambalo kwa sasa limezikumba nchi nyingi duniani.